Best 5 Storytelling Rap Songs

Best 5 Storytelling Rap Songs

This is my top 5

Sugu -Hayakuwa

Eminem-Mocking bird

Jay moe-story 3

Prof Jay-Zali la mentali

Eminem-Stan

Bonus in Mikasi ya Ngwair
SUGU na HAYAKUA MAPENZI- haikosekani ktk playlist yangu
 
No order...

2pac - Brenda's Got A Baby
SUGU - Hayakuwa
Nash Mc - Mitihani
GK - Sister Sister
Notorious BIG - Missing U
KadGO - Pacha
Songa - Usiku
Prof Jay - Zali la Mentali
GK - Sauti ya Manka

-Kaveli-
 
  1. Nishike mkono 😀arasa
  2. History :Jay z
  3. Toy solder :Emminame
  4. where is love: Black eyed peace
  5. i see you when you get there : Colio
 
  1. Nishike mkono 😀arasa
  2. History :Jay z
  3. Toy solder :Emminame
  4. where is love: Black eyed peace
  5. i see you when you get there : Colio


Story telling songs?

-Kaveli-
 
1.kadgo -pacha
2.p the m-huna jipya
3.songa-usiku
4.nash mc-mitihani
5.king kaka-dodoma (betty)
 
Its true kwamba Alama ya rapa mzuri ni uwezo wa kughani mashairi ya kupendeza..,lakini Alama ya Rapa mkali ni uwasilishaji wake wa visa,matukio,adithi,katika njia ya kupendeza na kumvutia msikilazaji kuendelea kusikiliza nyimboo..bongo kuna nyimbo kwa upande wangu zina adithi,story za kunivutia sana..kwa uchache nataja my top 5,,Nazi in

1: Diplomats MASELA TUMEJIPANGA

2: Chindo STORY YA NYOKAA

3:Jay Mo STORY 3

4:fid q RIPOTI ZA MTAANI

5:JCB UKISIKIA PAAH


!
!
Vipi Chemsha Bongo ya Prof J?

Hilo jina unalotumia limenivutia. Nimesoma shule hiyo miaka kati ya 1997 na 2003
 
Jay moe-story 3 & ludacris-runaway love.

Ufanano & utofautiano.

Prof-piga makofi & sean paul-make it clap-busta.

Ufanano & utofautiano.

Yote ni sanaa na muziki mzuri.
 
Kali 5 zangu
1. Hayakuwa mapenzi - Sugu
2. Chemsha Bongo - Jay
3. Miss u - Biggie Small
4. Dear mama - Tupac
5. Zali la mentali - Jay

Bonus
Salome - Dully Sykes
 
1. La Di Da Di - Doug E Fresh
2. Children story - Slick Rick
3. A teenage love - Slick Rick
4. Kill Niggaz - Slick Rick
5. Marcy me - Jay Z
 
Dingi mshenzi sana,
Baada ya kupata lidandasi akopoteza network kwa ubongo,

Anafukuzia ma'housegirl,
sema tu story uhalisia una mushkeli..dingi toka kuwa katibu mkuu wizara ya fedha had kuwa vile ni alfu lela ulela
 
Sasa za hapa hapa au kotekote?, ila ngoja nijaribu

1. Kingkola___Chindo Man
2. Landlord___Mejja
3. Mikasi______Ngwea
4. Adisia_______Rabbit
5. Rafael_________Fred Saganda
 
1. Papaa Mafido - My Story
2. Motra The Future - One Day
3. Eminem - Mocking Bird
4. Chindo Man - Nyokaa
5. Motra The Future - Super Marioo

 
Back
Top Bottom