Recent content by t_007

  1. t_007

    Tanzania ya Viwanda

    soma rostow economic growth model utaelewa tanzania kuwa na uchumi wa viwanda itachukua muda gani kufikia hali hiyo
  2. t_007

    Leonard Kyaruzi ahojiwa kwa makosa ya mtandaoni

    ukiacha wanaotukana watu na kupost picha za udhalilishaji ambayo ni kosa kisheria.kwa kuongelea au kukosoa kiongozi wa serikali au serikali yenyewe uwa najiuliza wanawezaje kuona conversetion za whatsapp!! kwa uelewa wangu mdogo kuhack whatsapp sio kitu kirahisi au wana mtambo wa kumonitor...
  3. t_007

    Hawa askari wamepata mafunzo ya aina moja?

    Yani bado tunatumia methods za colonial police za kukandamiza umma jeshi la polisi la sasa na ukoloni tofauti yao ni ss hivi tunakandamizwa na watanzania wenzetu ila jeshi na mbinu ni zile zile za kikoloni kikosi cha FFU kilianzishwa na wakoloni tumepata uhuru bado jina ni lile lile na...
  4. t_007

    Mjadala wa Mikoa Masikini Waligawa Bunge

    Naomba kuuliza hiyo mikoa minne iliyotajwa kama ina uafadhali kwenye kipato ndo haitapewa kipaumbele kwa miradi ya maendeleo!!?? na mkoa wa pwani una sifa gani kuwepo kwenye mikoa yenye umaskini mdogo hapo kuna siasa za kuigawa nchi si kweli mwanza na umaskini kushinda manyara kuna dalili za...
  5. t_007

    Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

    hamna njia yoyote labda itangazwe mawigi yanasababisha kansa ndo wataacha
  6. t_007

    Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

    utumwa wa kutaka kufanana na flani tu huo hamna la maana
  7. t_007

    Sheria ya Manunuzi yaua ‘upigaji dili’

    nadhani hujanielewa katiba ndio sheria mama ss kama katiba iliyopo inaruhusu viongozi wa umma kufanya mambo wanavyopenda hata utunge sheria ngumu kiasi gani ya manunuzi watazidi kuiba tu, lazima iwepo katiba inayowabana viongozi wa umma kwa mfano kuwakataza kufanya biashara wawapo madarakani la...
  8. t_007

    Zitto Kabwe: Serikali ya Rais Magufuli kuifadhili IPTL BIL. 100 2016/2017

    Hutakaa usikie kafika kwenye gesi na madini akigusa tu huko hata hao wachina alioawaita marafiki wa kweli watamgeuka na yeye mwenyewe anajua kaamua kufunika kombe mwanaharamu apite angekua anataka kurekebisha hayo angebadilisha katiba toka aapishwe hajawai kuliongelea atagusaje mikataba ya ya...
  9. t_007

    Sheria ya Manunuzi yaua ‘upigaji dili’

    hata itungwe sheria mpya ya manunuzi bila ya sheria mama ya nchi(katiba) kurekebishwa watu wataendelea kupiga dili tu sheria ya manunuzi iliyopo ni nzuri vipengele vichache ndo vinahitaji marekebisho. Swali la kujiuliza ni kina nani wanahusika na wizi kwenye manunuzi jibu ni wakuu wa idara...
  10. t_007

    Kenya Steps Up Import of Nuclear Reactors

    like a monkey cutting off a national grid??!! goodluck we expect more possibilities like that
  11. t_007

    Kenya Steps Up Import of Nuclear Reactors

    google cost za kujenga nuclear reactor then convert hyo hela into ksh utelewa kwa nini ni ndoto, na hapo ni kujenga tu bado fuel cost, waste disposal cost, safety security accidents, na insuarance we unadahani kwa nn ni nchi 442 duniani zina nuclear power plant Africa hamna hata 1 ilikua South...
  12. t_007

    Soon our nation will be in peril

    and i think his enemies are using his style to create his demise hopefully he is aware of that
  13. t_007

    Kenya Steps Up Import of Nuclear Reactors

    hawa jamaa wanapenda sifa sana mkuu na mahaba yaliyopitiliza mpaka wanashindwa kuchambua ukweli na ndoto
  14. t_007

    Soon our nation will be in peril

    JPM must be careful with his style of managing because when things starts to go wrong all his subordinates will lay the blame on him since he is the only one calling all the shots, he should trust the people he appointed to do the job if he cant trust them then he is doomed
  15. t_007

    Kenya Steps Up Import of Nuclear Reactors

    Bro kabla ya kwenda kwenye nuclear fission kwanza wameshapata kibali kutoka IAEA?? unapoteza nguvu kuwaelewesha hata kibali hawajapewa waache kuleta habari za alinacha
Back
Top Bottom