Recent content by T. 2015 CCM

  1. T

    MHAVILLE na MSHANA rekebisheni udhaifu huu

    Moja ya fikra za mjinga ni kujihami hata kwa kile kizuri kinachofanywa na wengine. Taaluma ya picha ni ngumu sana kuitengeneza kienyeji. Badilikeni!!!!
  2. T

    Chadema sasa chakomaa kisiasa- Arumeru Mashariki!!

    Chadema sasa kweli imeonesha ukomavu wake kisiasa, baada ya mmoja wa viongozi wake wa ngazi ya juu, Dokta W. Slaa kukiri kuwa sasa kazi ya kuishinda CCM ni ngumu. Dk. Slaa amesema hayo leo alipokuwa akizungumza na Viongozi wenzake katika kikao cha tathmini kilichofanyika katika eneo la wazi la...
  3. T

    Kikwazo kilichobaki kwa Siyoi ni Takukuru

    Siyoi hawezi kuwa mgombea sahihi kwa CCM ya sasa, hebu tungoje!
  4. T

    CHADEMA kama mnataka kushinda Arumeru Mashariki kuweni makini na huyu jamaa!

    Kama amesimama tu vijana wote wameenda kumzunguka ili azungumze nao, nadhani siku akisema anamkutano, hakuna atakaefanya kazi yoyote. Kamanda Mwigulu unatisha!!
  5. T

    Nape, 'Kujivua Gamba' ni danganya toto??

    Kumbukeni ndugu, Daudi alivyomteketeza Goliati kwa Kombeo, na pia namna Yesu alivyokataliwa na Mafarisayo pia Makuhani na kumbukeni msemo wa Kiswahili usemao Nabii hakubaliki nyumbani. Haya pamoja na mengine kama ya Tomaso ya kutaka kuona makovu ya kiganja cha Yes undo asadiki kuwa huyo ndiye...
  6. T

    Nape, 'Kujivua Gamba' ni danganya toto??

    Nimefuatilia kwa makini mjadala, nami naongezea sehemu ya majibu ya Nape, kuwa moja ya uwezo wa kufikiri wa mtu aliye makini na jambo mahususi, ni kujipambanua mbele ya umma, mwelekeo, malengo na msimamo wake dhahili. Hapa Nape amefanya hivyo, ila kwa sababu ya ushabiki, hoja zinazoingia humu ni...
  7. T

    Hatuwezi kupata rais kama JK

    Duuu hii kali, kumbe kuna wanaotumia MASABURI katika kutekeleza kila kitu, mweeeeeeee!!!!
  8. T

    Arumeru kunazidi kupamba moto!

    Yayaaaaaa, nimeipenda hiyo, na kwa kweli nadhani Laleo unastahili kazi uliyopata kwa Mwanamke shujaa, hasa ukizingatia ujira wake si mchezo!!!!
  9. T

    Hii speed ya Nape vipi waungwana?

    Ashoboza nawe umenena kweli, ingawa si busara kuwa sehemu ya kuzusha au kuelezea mambo juu ya watu fulani bila kuwa na ushahidi. madhara yake ni kujenga jamii inayopenda kuzusha na kuibua hja za uongo bila kufikiria wala kutathmini madhara yake baadae
  10. T

    Mnyika, Zitto, Januari, Kafulila, Nape kuanzisha Jukwaa la viongozi vijana?

    Wadau nimeinasa mahali kuwa kuna mazungumzo yanaendelea baina ya baadhi ya Viongozi vijana kuacha tofauti zao za kiitikadi (Kivyama) na kuanzisha jukwaa la Viongozi vijana kwa lengo la kujadili mstakabari wa Tanzania sasa na baadae kiuchumi, kisiasa, kimichezo na kiutamaduni. Kama mjadala na...
  11. T

    Hii speed ya Nape vipi waungwana?

    Haswaaa karata, umenena kweli, vijana tunaweza, hii haihitaji kuwezeshwa. Mifano ipo, ya watu waliofanikiwa bila kutegemea wala kupitia migongo ya watu wengine. Shime tushikamane kwa pamoja tutafika!!
  12. T

    Ratiba ya CCM kumpata mgombea Arumeru!!

    Huko itakuwa tu CCM CCM aahhkhh chama cha Mapinduzi CCM namba one!!! na Chama Gani Chama Cha Wananchi CUF, pia Chadema chadema People's Power. mpaka Aprili mwanzoni, duu nim mapambano ya kutisha!!, but natabili ushindi kwa CCM
  13. T

    Hii speed ya Nape vipi waungwana?

    Zamwamwa sikukejeli, ninachotaka kuonesha hapa ni kwamba, ukisema ukweli na kuusimamia, daima watakaokunuia mabaya hawataweza furukuta mbele yako, kwani daima Mungu anakuwa pamoja nawe!! ni lazima uone sawa kumwita Nape Vuvuzela, lakini unapomwita Nape Vuvuzela, wewe na wengine wanaofikiri kama...
  14. T

    Mabadiliko Katiba ya CCM Yamelenga Kumwengua Lowassa

    Tatizo kubwa ni kwamba hayo yote yanayojadiliwa ni mtazamo uliojaa tetesi zaidi, lakini ukweli ni kwamba CCM imeshasoma alama za nyakati, na sasa ipo katika jitihada ya kurekebisha maeneo yote yaliyokuwa yakisababisha kuwepo kwa myumbo wa kimwelekeo na kimaamuzi. kinachofanyika sasa hivi ni sawa...
  15. T

    Hii speed ya Nape vipi waungwana?

    Moja ya matumizi ya akili kwa watu wasiofikiri, ni kuishi kwa kudhani na kuwadharau wanaofikiri, si tatizo kwa watu waina hiyo kuwa wepesi pia wa kufuata upepo, na kuiga mambo kutokana na mwenendo wa makundi, yaani kuathiriwa na Mob Psychology. Zamwamwa wewe ni miongoni mwa watu wa alina hiyo...
Back
Top Bottom