mopaomokonzi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 308
- 28
Mwigulu is the king maker, nimeangalia nyuso za hao vijana wanamsikiliza kwa makini. Huyu ni mtu mkubwa anaposhuka kwa watu wachini inatia fora na lazima CCM
Siyo kwamba Igunga walishinda pamoja na kutoa pesa ila waliiba kura kwa kuunda vituo feki.
Acha atoe fedha mwisho siku CHADEMA itashinda
Makada wa CCM ndiyo wanamuogopa kwani lazima atawamega wake zao kama alivyomfanyia Ustaadh Rajab kule Igunga.
CHADEMA hamasisheni vijana ili wachukue hela kwa huyu bwana maana ni kodi zao.
Kula CCM, piga kura CHADEMA!
Pictures speak by themselves!
Jamani kama ni Mbinu nzuri kwanini msiige? Kama kweli anagawa rushwa muandalieni mtego akamatwe na takukuru kuliko kupiga makerere bure, siku hizi hata watu wanatembea na vitabu vya Dini wakiwakuta watu wanawahubiria habari njema kisha nyumba za ibada zinajaa.
Wana jf Salaam. Nawasalimia, sisi ni ndugu, sote ni watanzania