Arumeru kunazidi kupamba moto!

Hamna lolote .........upuuuzi mtupu. Kwani alisubiri baba yake afe aje kukutuma huku ?
 
Niliposoma kichwa cha topic nikazani uchaguzi umemalizika na mshindi katangazwa! Niliposoma ndani nikagundua kumbe kichaa wa CCM kaamua kuuraghai Umma..... She**i kabisa tena wanakucameroon!
 
Hata kama umelipwa na Sioi, wenzako hawafanyagi kihivyo............hii iko wazi mno.
 
Mimi naitwa Naoa S. Sumari, nami nachukua fomu kwa tiketi ya CCM ili mtupambanishe Sioi S. Sumari ili kujua nani anayeweza kuongea kwa lugha ya kawaida kabisa ikaweza kuelekeweka na watu wa aina yoyote.
 
Kama hamjui Sioi ni jina la heshima,mtu mwenye siha njema na nakuhakikishia wanawake wakisikia hilo jina tu,kura anazo zote.
 
Baada ya kufanya utafiti wa kina na kuangalia wagombea wanajitokeza kugombea kuteuliwa na vyama vyao kupeperusha bendera ktk katika jimbo la Arumeru Mashariki,naungana kabisa na wapiga kura wengi kuwa hakuna anayeweza kumshinda Sioi endapo atapitishwa na CCM na yeye mwenyewe kujipanga vizuri.
Huu ndio ukweli na CCM inatakiwa iangalie hilo kama wanataka kuwepo ktk jimbo hili.Wengine kwa sababu zao wanasema hana uzoefu ila wengi watakubaliana nasi kuwa uzoefu wa kuongea kwenye majukwa na kutia ahadi hew sii muhimu zaidi ya moyo wa ujasiri wa kukabiliana na changamoto za watu wa Meru.Kule Meru huwa tunaamini Maji yaliko pita mwanzo lazima tu yapite tena.
Nawashauri akina Kaaya's,Urio na Shami kujitoa mara moja na Kuumunga mkono Jemedari Sio Sumari awe mgombea pekee.
Sioi ni mtu wa kawaida sana,anaweza kuongea lugha ya kawaida kabisa hata na mtu ambaye si sawa na yeye.Na huyu ndie mtu anayetakiwa.Yeye si kama wengine wanatumia mifano ya kuwakejeli wananchi wa Arumeru Mashariki.Wananchi hawataki dharau,wanataka maendeleo.

Watu wa Kada yako ndio wanaotuharibia Chama pamoja na kuwadhoofisha wale wanaogombea hata kabla muda haujafika. Its very unbecoming kuchukua maneno ya vijiweni na kuya'paste' humu as if ni kitu ambacho kimeshathibitika. Kwanza huwezi kukisemea Chama ambacho kina vikao vyake hali vya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa katika kufanya maamuzi hii ni hatari sana lakini pili huwezi kutushawishi kwa kutumia hilo neno uliloita HAIBA nzuri au kuongea lugha ya kawaida kama kigezo cha Sioi kuwa Mbunge futa kabisa manake hizo sifa ni 0.5% kati ya 100%, Ubunge si kuchuma kahawa au kupanda mahindi shambani kwanza majority tumeshangazwa na Sioi katokea wapi na nini lengo lake ila kwa kuwa ana haki Kikatiba tumeona naye anaweza kuwa anajaribu kujijenga for the future ila kwa hali ya Arumeru ushawishi wako ni sawa na Ngamia kupita tunduni mwa Sindano........ Acha vikao halali vya Chama vifanye uamuzi and stop acting childshly....... Na hiyo imani yako ati ya maji kupita......... ibaki kuwa yako wewe kutoka Ndoombo ila usiwasemee wengine kutoka Mulala, Nkoanekoli, Patandi, Nkoaranga na kwingineko......

Ni hayo tu Mkuu Laleo
 
Aisee hilo ni shairi la wimbo wa rusha roho unaouandaa kwa ajili ya kampeni za magamba siyo?? Pesa ya CCM siku hizi hata si tamu tena
 
Wewe ni mpuuuuuuuuuuuuuuzi na toa upuuuuuuuuuuuuuzi wako hapa JF. AENDE AKAGOMBEE UBUNGE PALE ROSE GARDEN
 
Yayaaaaaa, nimeipenda hiyo, na kwa kweli nadhani Laleo unastahili kazi uliyopata kwa Mwanamke shujaa, hasa ukizingatia ujira wake si mchezo!!!!
 
kwa kua hakuna anaeweza kumshinda, haina haja ya kampeni aende tu wilayani akasubiri kutangazwa mshindi.
 
Baada ya kufanya utafiti wa kina na kuangalia wagombea wanajitokeza kugombea kuteuliwa na vyama vyao kupeperusha bendera ktk katika jimbo la Arumeru Mashariki,naungana kabisa na wapiga kura wengi kuwa hakuna anayeweza kumshinda Sioi endapo atapitishwa na CCM na yeye mwenyewe kujipanga vizuri.
Huu ndio ukweli na CCM inatakiwa iangalie hilo kama wanataka kuwepo ktk jimbo hili.Wengine kwa sababu zao wanasema hana uzoefu ila wengi watakubaliana nasi kuwa uzoefu wa kuongea kwenye majukwa na kutia ahadi hew sii muhimu zaidi ya moyo wa ujasiri wa kukabiliana na changamoto za watu wa Meru.Kule Meru huwa tunaamini Maji yaliko pita mwanzo lazima tu yapite tena.
Nawashauri akina Kaaya's,Urio na Shami kujitoa mara moja na Kuumunga mkono Jemedari Sio Sumari awe mgombea pekee.
Sioi ni mtu wa kawaida sana,anaweza kuongea lugha ya kawaida kabisa hata na mtu ambaye si sawa na yeye.Na huyu ndie mtu anayetakiwa.Yeye si kama wengine wanatumia mifano ya kuwakejeli wananchi wa Arumeru Mashariki.Wananchi hawataki dharau,wanataka maendeleo.

Je? arumeru mashariki ni jimbo la kifalme?,kwa nini unang'ang'ania uwe ukoo wa kina sumari tu

Ina maana hakuna watu wengine wenye kuweza kuleta maendeleo kwa uongozi thabiti na wenye kutukuka?

Ebu taja walau mfano halisi wa maendeleo jimboni aliouacha marehemu sumari unaoweza kutushawishi tukubali pendekezo lako?

Na hao watu wa kawaida si ndio hao kina MAJI MAREFU steven ngonyani anayekataa hoja binafsi bungeni kuhusu ufufuaji wa zao la mkonge,wakati jimbo lake likiwa na wahanga lukuki wa ukosefu wa ajira kutokana na zao hilo kudorora!.
 
Back
Top Bottom