Kenya watu washapiga pesa ya mkopo,halaf nyie kajamba nani,mnakuja kutoa povu kwa rais wetu,hii ni nchi huru na tuna maamuzi yetu,mnatuambia hali mbaya, mi mtaani kwangu hakuna kifo cha corona tangu ianze,poor Kenyans.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilivyoona tumeweka double stricker,na yanga kwa viungo wale,nikajua tumeumia,kibaya zaidi dk 15 zilitosha kwa benchi la ufundi kufanya marekebisho,.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa uamuzi wako wa busara kuamua uchaguzi wa kura za maoni kurudiwa, hasa kwenye wilaya ya Kinondoni. Lakini nataka nikujulishe jambo moja kubwa, uvurugwaji wa uchaguzi kwenye wilaya ya Kinondoni umeanzia wilayani, hapo ndipo mihutasari ya matawi na kata...
Kwanza kabisa ijulikane,anachofanya Membe ni utovu wa nidhamu uliopitiliza,uchaguzi wa serikali za mitaa ni mwaka huu na watu hawajatangaza nia,iweje yeye leo hii aanze kuongelea urais,naamini anajua hawezi kufanikiwa hicho anachoota,ila kuna kitu kingine anakitafuta.Naamini vikao vijavyo vya...
Kufuatia mfululizo wa clip ambazo zinaendelea kutolewa na wahusika kutozikanusha,ikiwemo ya January na baba yake Mzee Makamba,ni dhahiri sasa kijana huyu amekua akishiriki vikao vya baraza la mawaziri na wakati huo huo yuko kwenye vita vya kimya kimya vya kumhujumu mh rais,kwa hali hio kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.