Ushauri gan hapo upewe? Hapo huyo mwanaume hakupendi, ndo maana anatafuta na msaada wa kuambiwa yupi mke bora kwake wakati chaguo ni lake,Wewe Ondoka achana nae na huyo anayeona ndo alistahili kuwa mke wake.,My dear maisha ni mafupi sana na hamna mengine zaidi ya haya so ishi kwa furaha, pigania...