Mwanangu Mwanauba, jifya moja haliinjiki chungu

Mwanangu Mwanauba, jifya moja haliinjiki chungu

si ladha ni maujuzi kunako hawa wanaume wanatofautiana shosti kuna mmoja nilikuwa naye nilikuwa nawaza hata kugegedana naye kwajinsi alivokuwa kilaza ila huyu wa sasa usipime ni mjuzi balaa

Mmhh!!
 
pole sana shosti huwa hawastaafu mwenyewe wangu anajidai amestaafu lakini ni juzi tu kaniletea miwasho once a player always a player asili ya maji ni baridi na hilo halitobadilika miaka dahari

Well said......
 
pole sana shosti huwa hawastaafu mwenyewe wangu anajidai amestaafu lakini ni juzi tu kaniletea miwasho once a player always a player asili ya maji ni baridi na hilo halitobadilika miaka dahari

Mtaambukizwa sana magonjwa ya zinaa na ukimwi juu kwa kujifanya mnafumba macho kisa jamaa anajua kukugegeda!
 
Kuwa mzazi kunaniumizaga kweli kichwa.

Nikipata mtoto wa kike nitamlea nilivyolelewa mimi na baba yangu akiwa mzazi pekee.

Hamba sijui kuchezwa ngoma.... mara kufundwa... sijui kufanyweje?

Big NO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom