Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,735
- 7,010
Mimi nimeoa na nna mtoto 1,
Nnko kwenye uhusiano wa siri kwa muda wa miaka 2, kuna ndugu wa mke wangu alikuja hapa nyumbani kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo,
lakini kwa namna moja au nyingine tukaingia ktk mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.
Nnlijitahidi kuwa naye kwa siri sana yaani kuwa makini kutompa mimba,
pia kutokamatwa.
Nnliaamini kuwa akimaliza masomo akaondoka hapa home ntaweza msahau,
lakini imekuwa kinyume,.kwani mwishoni tulipeana penzi zito na hivyo kuongeza hali ya kuhitajiana,
yaani nnligharimika sana kiasi cha sh milion 3 kwa mavazi na mahitaji yake mengine,
plus kumpiga sex ya maana,
kwa sasa yuko kwao,
ila nna wivu naye sana,
yaani nataka arudi hapa home lakini malengo yangu ni kuachana na huu uhusiano.
Huyu mtoto kanisaidia kutulia kabisa,yaan mtaan sikuwa na skendo yoyote,
tofauti na mwanzo ambapo ukimega binti wa kitaa lazima anukishe hadi wife anazipata,
hapa nlisettle kwa kweli maana nnlikuwa napata nafac nzuri ya kuwa naye hapahapa home,
nnlipata game tamu sana kwa huyu mtoto,
pia naye nnlihakikisha nimemlegeza vya kutosha naye alinikubali sana,
ingawa hapo awali nnliwahi kubamba mawasiliano yake na jamaa 2,
kiukweli nlireact very aggresive sana maana mmoja nnlihakikisha amehama mji,
na mmoja nnlimktia mawasiliano kabisa,
hivyo nikawa nimewasambaratisha kabisa na mimi kuendelea kula mtoto peke yangu,
kwa tukio hilo mrs wangu alibaki hajielewi kabisa why ning'ake kiasi hicho kwa huyo mtoto wakati hapohapo kulikuwa na mpwa wangu age sawa na huyu mtoto, anamegwa kiwaziwazi hadi anachelewa sikani lakini sijali .
Kiukweli naandika hapa nikiwa bar kwani huyu mtoto kaenda kwao na kila nkipiga simu yake iko bize jambo ambalo nahisi ananichakachua,
naumia sana jamani,mapenzi mabaya sana.
Ntarudi kuendeleza hii real story.
Nifanyeje tafadhali.
Nnko kwenye uhusiano wa siri kwa muda wa miaka 2, kuna ndugu wa mke wangu alikuja hapa nyumbani kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo,
lakini kwa namna moja au nyingine tukaingia ktk mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.
Nnlijitahidi kuwa naye kwa siri sana yaani kuwa makini kutompa mimba,
pia kutokamatwa.
Nnliaamini kuwa akimaliza masomo akaondoka hapa home ntaweza msahau,
lakini imekuwa kinyume,.kwani mwishoni tulipeana penzi zito na hivyo kuongeza hali ya kuhitajiana,
yaani nnligharimika sana kiasi cha sh milion 3 kwa mavazi na mahitaji yake mengine,
plus kumpiga sex ya maana,
kwa sasa yuko kwao,
ila nna wivu naye sana,
yaani nataka arudi hapa home lakini malengo yangu ni kuachana na huu uhusiano.
Huyu mtoto kanisaidia kutulia kabisa,yaan mtaan sikuwa na skendo yoyote,
tofauti na mwanzo ambapo ukimega binti wa kitaa lazima anukishe hadi wife anazipata,
hapa nlisettle kwa kweli maana nnlikuwa napata nafac nzuri ya kuwa naye hapahapa home,
nnlipata game tamu sana kwa huyu mtoto,
pia naye nnlihakikisha nimemlegeza vya kutosha naye alinikubali sana,
ingawa hapo awali nnliwahi kubamba mawasiliano yake na jamaa 2,
kiukweli nlireact very aggresive sana maana mmoja nnlihakikisha amehama mji,
na mmoja nnlimktia mawasiliano kabisa,
hivyo nikawa nimewasambaratisha kabisa na mimi kuendelea kula mtoto peke yangu,
kwa tukio hilo mrs wangu alibaki hajielewi kabisa why ning'ake kiasi hicho kwa huyo mtoto wakati hapohapo kulikuwa na mpwa wangu age sawa na huyu mtoto, anamegwa kiwaziwazi hadi anachelewa sikani lakini sijali .
Kiukweli naandika hapa nikiwa bar kwani huyu mtoto kaenda kwao na kila nkipiga simu yake iko bize jambo ambalo nahisi ananichakachua,
naumia sana jamani,mapenzi mabaya sana.
Ntarudi kuendeleza hii real story.
Nifanyeje tafadhali.