Msaada namna ya kutoka kwenye huu uhusiano.

Msaada namna ya kutoka kwenye huu uhusiano.

Ziltan

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
2,735
Reaction score
7,010
Mimi nimeoa na nna mtoto 1,
Nnko kwenye uhusiano wa siri kwa muda wa miaka 2, kuna ndugu wa mke wangu alikuja hapa nyumbani kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo,
lakini kwa namna moja au nyingine tukaingia ktk mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.
Nnlijitahidi kuwa naye kwa siri sana yaani kuwa makini kutompa mimba,
pia kutokamatwa.
Nnliaamini kuwa akimaliza masomo akaondoka hapa home ntaweza msahau,
lakini imekuwa kinyume,.kwani mwishoni tulipeana penzi zito na hivyo kuongeza hali ya kuhitajiana,
yaani nnligharimika sana kiasi cha sh milion 3 kwa mavazi na mahitaji yake mengine,
plus kumpiga sex ya maana,
kwa sasa yuko kwao,
ila nna wivu naye sana,
yaani nataka arudi hapa home lakini malengo yangu ni kuachana na huu uhusiano.
Huyu mtoto kanisaidia kutulia kabisa,yaan mtaan sikuwa na skendo yoyote,
tofauti na mwanzo ambapo ukimega binti wa kitaa lazima anukishe hadi wife anazipata,
hapa nlisettle kwa kweli maana nnlikuwa napata nafac nzuri ya kuwa naye hapahapa home,
nnlipata game tamu sana kwa huyu mtoto,
pia naye nnlihakikisha nimemlegeza vya kutosha naye alinikubali sana,
ingawa hapo awali nnliwahi kubamba mawasiliano yake na jamaa 2,
kiukweli nlireact very aggresive sana maana mmoja nnlihakikisha amehama mji,
na mmoja nnlimktia mawasiliano kabisa,
hivyo nikawa nimewasambaratisha kabisa na mimi kuendelea kula mtoto peke yangu,
kwa tukio hilo mrs wangu alibaki hajielewi kabisa why ning'ake kiasi hicho kwa huyo mtoto wakati hapohapo kulikuwa na mpwa wangu age sawa na huyu mtoto, anamegwa kiwaziwazi hadi anachelewa sikani lakini sijali .
Kiukweli naandika hapa nikiwa bar kwani huyu mtoto kaenda kwao na kila nkipiga simu yake iko bize jambo ambalo nahisi ananichakachua,
naumia sana jamani,mapenzi mabaya sana.

Ntarudi kuendeleza hii real story.
Nifanyeje tafadhali.
 
Mbona hata huelekei kutaka kusitisha huo uhusiano?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mimi nimeoa na nna mtoto 1,
Nnko kwenye uhusiano wa siri kwa muda wa miaka 2, kuna ndugu wa mke wangu alikuja hapa nyumbani kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo,
lakini kwa namna moja au nyingine tukaingia ktk mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.
Nnlijitahidi kuwa naye kwa siri sana yaani kuwa makini kutompa mimba,
pia kutokamatwa.
Nnliaamini kuwa akimaliza masomo akaondoka hapa home ntaweza msahau,
lakini imekuwa kinyume,.kwani mwishoni tulipeana penzi zito na hivyo kuongeza hali ya kuhitajiana,
yaani nnligharimika sana kiasi cha sh milion 3 kwa mavazi na mahitaji yake mengine,
plus kumpiga sex ya maana,
kwa sasa yuko kwao,
ila nna wivu naye sana,
yaani nataka arudi hapa home lakini malengo yangu ni kuachana na huu uhusiano.
Nifanyeje tafadhali.

Ushauri wa nn wakati ushaamua?
 
kubali tu ulikosea huko nyuma,ukiamua inawezekana,lakini uwe na nia kweli,bila hivyo si muda mrefu utagundulika tu,na ndoa kusambalatika sawia.
 
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.

Hayo yenye nyekundu ndio yanayo kumaliza kabisa, hizo ni dalili zote za taama.
Kikubwa hapa ni kuzishinda taama ulizo nazo kwa kuwa hata mwanzo ulishindwa kushinda tamaa zako ndo ikakupelekea kuanzisha mahusiano hayo.
Unachotakiwa ni kuwa tayari kuyatoa mawazo hayo yaliyo kujaa kichwani mwako yenye dalili za kuto kushinda uzinzi, njia pekee ya kuelekea kwenye ushindi wa kumwacha na kuvunja mahusiano hayo haramu ndio hiyo mkuu.
Lazima kwanza uwetayari kuacha hapo ndio ushauri wetu utakufaa.
 
Mkuu unataka tukushauri katika dhambi yako ya uzinzi na kutokua mwaminifu?

Huyo mweupe nipe namba yake nimpigie then nianze mapatanisho
 
Badili dini uchukue wote inaonekana una kaugonjwa, yani unauachia mwili kiasi hicho? Jikontrol mkubwa, ukishindwa nenda kwa dini ya wake wa4 basi mpk gegedo lichoke lenyewe.

Ila pole, kuna wimbo wa Ras Lion unaitwa 'Hii kitu hii kitu' ebu usikize u-tube
 
mods niruhusuni nitukane!!
na ------ ww sikutukani kwa kuwa una mahusiano nje ya ndoa yako.
nakutukana kwa kuwa
-huyo binti ni ndugu wa mkeo
-unaamini una haki na hicho unachofanya
-hujutii
-much worse huna mpango wa kuacha!!
 
mods niruhusuni nitukane!!
na ------ ww sikutukani kwa kuwa una mahusiano nje ya ndoa yako.
nakutukana kwa kuwa
-huyo binti ni ndugu wa mkeo
-unaamini una haki na hicho unachofanya
-hujutii
-much worse huna mpango wa kuacha!!

By nature all men are polygamous ila huyu kazidi, calm down usitukane ila kama unaishi na mdg wako na umeolewa watch out!
 
Wewe unafaa kuishi na huyo bazazi mwenzio kama ameweza kutembea na mme wa ndugu yake mnaendana!mrudishe hapo kwenu ili mkeo ajue ndoa ife umuoe baradhuli mwenzio!hovyoooooo!mxiuuuuuuuu!
 
Wew ukifumwa ni kupewa sumu tu ujifie kitaratibuuuuu kama Paka Shume lililozoea kudokoa nyama nyumba za watu... Huna hata haya, hapo ukute mkeo hujawah kumpa hata sent ya kununua kandambili, Ila ipo siku utafumwa tu, Na huyo mschana ni bonge na muuaji na hiyo dhambi ipo siku atailipa tu.
 
Mimi nimeoa na nna mtoto 1,
Nnko kwenye uhusiano wa siri kwa muda wa miaka 2, kuna ndugu wa mke wangu alikuja hapa nyumbani kwa ajili ya kujiendeleza kimasomo,
lakini kwa namna moja au nyingine tukaingia ktk mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli huyu binti ni mzuri sana yaani ni mweupe pee,
kajazia halafu shape na figure ya ukweli ipo.
; kwa mwanaume yeyote wa ukweli lazima atikisike hapa.
Nnlijitahidi kuwa naye kwa siri sana yaani kuwa makini kutompa mimba,
pia kutokamatwa.
Nnliaamini kuwa akimaliza masomo akaondoka hapa home ntaweza msahau,
lakini imekuwa kinyume,.kwani mwishoni tulipeana penzi zito na hivyo kuongeza hali ya kuhitajiana,
yaani nnligharimika sana kiasi cha sh milion 3 kwa mavazi na mahitaji yake mengine,
plus kumpiga sex ya maana,
kwa sasa yuko kwao,
ila nna wivu naye sana,
yaani nataka arudi hapa home lakini malengo yangu ni kuachana na huu uhusiano.
Nifanyeje tafadhali.

.1.wewe kwanza huitaj ushaur cz unauliza then unajijibu mwenyewe
2.Acha uzinz na tamaa majuto ni mjukuu mkeo akijua..
3.Mungu akusamehe bure cz kila muosha huoshwa
 
Back
Top Bottom