Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
this is one sided story
naogopa kuhukumu bila kusikia upande mwingine
hujatuambia tabia zako wewe labda za kibabe babe,msema ovyo nk
hujatuambia kama unamtreat vipi huyo alokuwa mumeo
mwanaume hawezi kuwa mkorofi,mkali kama mwanammke
anajua wajibu wake na anauchunga vema ulimi wake kuongea ya busara
lakini kama unamnyanyasa kwa maneno na matendo unategemea awe mpole na tabia nzuri?
i think kwa wanawake wa type yako hamwezi kuishi ktk ndoa
na sio kila mwanamke ni wa kuolewa. jiangalie kwanza wewe.
jadilini tofauti zenu kubalianeni kubadilika leeni mtoto pamoja
kila jambo hutokea lkn lina suluhisho.
naogopa kuhukumu bila kusikia upande mwingine
hujatuambia tabia zako wewe labda za kibabe babe,msema ovyo nk
hujatuambia kama unamtreat vipi huyo alokuwa mumeo
mwanaume hawezi kuwa mkorofi,mkali kama mwanammke
anajua wajibu wake na anauchunga vema ulimi wake kuongea ya busara
lakini kama unamnyanyasa kwa maneno na matendo unategemea awe mpole na tabia nzuri?
i think kwa wanawake wa type yako hamwezi kuishi ktk ndoa
na sio kila mwanamke ni wa kuolewa. jiangalie kwanza wewe.
jadilini tofauti zenu kubalianeni kubadilika leeni mtoto pamoja
kila jambo hutokea lkn lina suluhisho.