Hii post ni ya kibaguzi kama ana asili ya Somalia ndo Hana qualification? Ragge ni mmoja wa wafanya biashara kuleta dala dala Tabora na ikaleta changamoto watu wafanya biashara wengine kuwekeza kwenye daladala. Na wote tunajua umuhimu wa transportation kwenye maendeleo. Pili wa kwanza...
Unahakika hatuna barabara ya lami? Toka enzi za mkoloni tulikuwa na lami. ukituwa airport ya Tabora (mjini) hadi town lami ukipandisha mlimamani camp ya jeshi mara ya mwisho kuwa Tabora ilikuwa 2009 msijenge mtazamo Tabora Bush Mji wetu ina historia sema watu wakisha fanikiwa hawarudi kwao...
lini amelala? afu unajua Tabora nikubwa jimbo gani unanzumzia Tbr mjini? Igunga, sikonge? suala la Elimu hamna mtu asiyejua heshima ya Tabora boys top10 necta kila mwaka haikosi!
ndugu yangu acha kuchocheza hili suala ni senstive ukijumlisha kosa wa wapuuzi wachache kuwahukumu dini nzima tafashal Mimi Muislamu nanipenda nchi yangu na naiombea amani kila siku na laani mlipuko wa Arusha.Mbona scandal ya Mapadri kuwalawiti watoto wa kiume Marekani na UK mtu mwenye akili...
nashaangaa watu wanakuwa na uelewa mdogo na mfinyu alivyosema 'umebugi meen' alikuwa anakejeli na kuchangia hoja ya upinzani nashangaa watu mnalichukulia statement literary mananeno mangapi kasema kwenye hotuba yake ila mna quote to "umebugi man". afu hauna hata habari ya uhakika kuhusu Tabora...
Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumzia suala hilo alimtetea Rage, akisema alikuwa akiamua ugomvi huo na kama isingekuwa yeye mauaji yangetokea.
"Hakuhusika yeye alikuwa akiamua ugomvi na kama asingekuwepo mauaji yangetokea," alisema Ndugai.
Mbona una double standard ndugu? angekuwa mpinzani amesema ni ndoto ccm kushinda uchaguzi 2015 unge react vipi? anzisha mada yalioenda shule siyo maneno ya mtaani mkiwa mnakunywa kahawa unayaleta huku! But i guess you are entilted to freedom of speech. have a good day ndugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.