Rage: Mmebugi men....!

Rage: Mmebugi men....!

Lile ni pandikizi CCM na Simba pia. Yule Msomali kama maslahi yake ya alshabab yakitiki yeye anaweza kusema/kufanya lolote analoagizwa. Yuko kimagendo zaidi.
 
Jinsi alivyoivuruga simba na kuitoa kwenye ramani....ndivyo anavyotaka kuliharibu bunge....na kuendelea kuwatelekeza Tabora....
Yeye amezoea kupambana na Nyange Kburu unadhani ataongea nini bungeni?

nashaangaa watu wanakuwa na uelewa mdogo na mfinyu alivyosema 'umebugi meen' alikuwa anakejeli na kuchangia hoja ya upinzani nashangaa watu mnalichukulia statement literary mananeno mangapi kasema kwenye hotuba yake ila mna quote to "umebugi man". afu hauna hata habari ya uhakika kuhusu Tabora unahakika gani kaitekeleza? pia kuhusu Simba yeye ni kiongozi wa kwanza kuwasalisha AUDITED financial report in the general meeting afu yanga ndo wameiga juzi juzi,pia kiongozi wa kwanza wa kilabu Tanzania kuanzisha utaratibu wachechezi wakicheza michuano ya kimataifa wachazaji wanapewa posho kuanzia 500$ ! usizungumze vitu ambavyo huna uhakika na klabu yetu Simba

Mnyonge Mnyongeni, Haki yake mpeni!
 
Lile ni pandikizi CCM na Simba pia. Yule Msomali kama maslahi yake ya alshabab yakitiki yeye anaweza kusema/kufanya lolote analoagizwa. Yuko kimagendo zaidi.
 
Wabunge wa ccm hawaelewi wanachojadili, kiufupi ukiwasikiliza utajua tu kuwa wanakimbia kivuli chao wenyewe. Lugha ya kingereza ni shida kwao, na kiswahili ni tatizo, elimu ilipita kando ndio maana hawaoni shida kutukana!!!
 
Mbunge gani kashindwa kuongoza hata Klabu ya Mpira bhana? Hivi yale mapinduzi yaliishia wapi? Nadhani huko India alikokwenda hawajamaliza kumtibu karudi kuwahi kutujazia bunge tu na kula pesa zetu Msomali huyu, dawa yao ni hiii hapa chini tu

Once you feel symptoms of CCMonia sickness, immediately treat it with Chademaquine tablets U will be cured. Chademaquine tablets are available all over the country. If illness persists consult Dr.Slaa! Lets be cured now do not wait to die!
 
Rage ni regge hopeless guy, club imemshinda sijui watu wa Tabora walikosa mtu wa kuwawakilisha, hadi wampe mtu ambae alitokea magereza
 
Jinsi alivyoivuruga simba na kuitoa kwenye ramani....ndivyo anavyotaka kuliharibu bunge....na kuendelea kuwatelekeza Tabora....Yeye amezoea kupambana na Nyange Kburu unadhani ataongea nini bungeni?
Mimi kila siku nasema kabla ya kuwapitisha watu kugombea nafasi yoyote lazima tuangalie/tuchunguze uraia wake kwanza. CCM hawana utamaduni huu ndo maana hata WASOMALI wanagombea kupitia chama chao! Huyu jamaa ninawasiwasi naye, kwanini tangu ashinde kiti cha UBUNGE idadi ya ndugu zake WASOMALI wanaoingia nchini mwetu kwa njia za panya imeongezeka zaidi? Isije kuwa ana wasaidia huyu jamaa kwa kuwa mbinu za kuingia nchini ambazo yeye alizitumia kipindi anaingia nchini bila kushitukiwa!
 
"msisahau alitoka gerezani kwa msamaha wa rais lazma alambe viatu ya watawala "huyu na ndolanga si ndio waliua soka la tanzania mchezaji akpta timu nje wanataka 40% na pesa fat wakala na za miradi ya fifa " simba mfukuze huyu
 
Jinsi alivyoivuruga simba na kuitoa kwenye ramani....ndivyo anavyotaka kuliharibu bunge....na kuendelea kuwatelekeza Tabora....
Yeye amezoea kupambana na Nyange Kburu unadhani ataongea nini bungeni?

Ngoja na mimi niongeze kajibu kwako Benaire na wengine....."Mmebugi men"!
 
Rage ametoa hiyo kauli wakati akiwakebehi wapinzani! Ni sahihi? Naibu Spika ....Naomba Mwongozo!
Nilishangaa Rage alivokuwa akijibu madai ya Lema kuwa Kikwete ni mdini. alitoa takwimu za mawaziri wakristo na mawaziri waislamu; wakuu wa mikoa; makatibu wakuu nk. Nilishangaa hizo takwimu alizipata wapi muda huo huo kama hakuwa amezikariri muda mrefu kitendo kinachomfanya awe nae ni mdini. maelezo yake yalikuwa pia yakichochea badala ya kusahihisha. naona kufikiri kwake kunatia shaka japo hata wale wa upande wke walikaa kimya. mimi niliwashangaa japo sikupenda kitendo cha kumwita raisi mdini. Nadhani tunahitaj staha katika kum address mkuu wa nchi japo tunaona makosa. msinishambulie, haya ni mawazo yangu maana hata nyumbani tunamheshimu baba kiasi si kwa sabab hana makosa bali kwa sababu ni baba.
 
Back
Top Bottom