ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
Tabora bana haibadiliki. Nilikuwepo 1993 nikarudi mwaka huu iko vile vile. Naona kama imechoka zaidi.
Tuombe radhi mkuu!Ni kweli tunanuka dhiki kali lakini mabadiliko yapo kiasi chake! Umesema uliondoka 1993 Haujashangaa hata kuona ghorofa ya kwa mkuu wa mkoa?ghorofa ya NSSF je? Siku hizi angalau tuna vyuo vikuu viwili japokuwa ni vya private.