ISRAEL v/s IRAN.

ISRAEL v/s IRAN.

Status
Not open for further replies.
Wewe Danganyika na wikipedia mtu yeyote anaweza kuandika kama ni kujilimbikizia sifa mtu yeyote anaweza kazi kubwa iko kwenye MEDANI unaweza sema maneno mengi mpaka ukatisha watu lakini mtu hupimwa kutokana na vitendo vyake kama ni maneno wengi sana walishashasema lakini walipolianzisha walishindwa,Narudia tena nchi hizi mbili haziwezi kushambuliana bila msaada wa nchi nyingine hii ndiyo fact kwa maneno sawa wanaweza kushambuliana lakini si ki-vita.
Hahaha we unaongelea kama ni mwanajeshi mstafu wa Tanzania wakati Tanzania haina uwezo hata wa kumiliki ndege 12 za kivita na tena zilizo pitwa na wakati.

List of military equipment manufactured in Iran - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Iran kuna kipi kipya. Vita vikianza kupiganwa ndani ya mwezi tu mshindi kesha julikana. Hizi nchi za kiarabu kinachowaua ni technology ya mrusi ambayo wakipewa wanadhani wapo juu kumbe mrusi mwenyewe anawapa edition kiliyopitwa na wakati. Vita inamambo mengi sana. Ogopa sana sehemu ambayo mzungu anaweza kuingia na kuwagawa wananchi na serikali hapo utapigwa kiulaini tu. Vita ya Iran na Israel ndani ya mwezi tu inaisha then wanabaki waarabu wakiendelea kijilipua wenyewe kwa wenyewe tu.


Iranians are not Arabs, they are Persians get that cleared before you generalise n comment.
 
mkuu achana na ushabiki,mimi ntakuwekea account ya israel shamir kuhusu nini hasa kilitokea kwenye vita vya 1973,yomma kippur war.

Na yataka ujue kuwa israel shamir alikua ni askari wa israel aliyepigana katika vita hivyo kwahiyo hakuhadithiwa alipigana na kikosi cha kilifika hadi umbali wa km 100 toka cairo,hivyo anajua anachokisema na ukitaka kumuuliza ntakuwekea na email yake ili uprove.STAY TUNED.

Anything can happen at the battle field kaka lakini sisi tunachoangalia katika medani za kivita ni mbinu za kukupa ushindi wa jumla. Kumbuka maana ya Yom Kippur, kwanini kipindi cha Yom Kippur alafu support from all around Arab world mwisho wa siku wote chali. Israel Shamir ni mtu mmoja kama wewe na aweza kua na mtizamo binafsi ambao hauna madhara hata kama yapo ni too late to the squad/battalion.

What did Israel get out of the Yom Kippur War?


Despite the initial successes of the Egyptian and Syrian forces, the war proved once again how effective the Israeli military could be. After the initial set-backs, the war served as a huge morale boost to Israelis. Despite a co-ordinated attack on two fronts, Israel had survived and had pushed back the nations that had initially broken through Israel's defences.
The war served as a salutary lesson to the Arab nations that surrounded Israel in that initial victories had to be built on. The failure of the Egyptian and Syrian forces to defeat Israel pushed Sadat towards adopting a diplomatic approach.
 
Iran inaweza kuisambaratisha mbali Israel wenyewe wanajua na si kwamba chokochoko za nyuklia ya Iran kwamba U.S the answer is NO ni ISRAEL ndio uanzisha choko choko izo.
tuna jadili jambo ambalo hatujalifanyia utafiti au hatujasoma tatifi za watalam, israel na iran zipo kwenye mgogoro mda mrefu, tangu liundwe upya taifa la Israel,kiukweli israel ni taifa lenye nguvu za kijeshi mashariki ya kati kuliko nchi yoyote pale.ndio pekee yenye kumiliki silaha za atomic,iran ipo kwenye mchakato wa kuzitengeneza.ukirud nyuma miaka ya 67 nchi kadhaa za kiarabu ziliungana iktk vita vya kushtukiza vya kuifuta israel ktk siku ambayo wayahud wanasherekea sikukuu yao ambayo hata wanajeshi hawashili silaha.nchi hizo n jordan,Lebanon,Misri,syria,iraq,iran,tunisia na nyingnezo zilipigwa vibaya sna ndai ya siku sita zikasalimu amri,misriu ilipoteza theruf ya ardhi yake,syria mpaka leo haijarudishiwa ardhi ya milima ya goran,ndio muda umepita,mambo yamebadilika sana.lakin bado israel bado ipo mbali saa kiteknolojia kuliko iran.jaribu pia kuangalia hata kwenye rank za GFP ,israel ni ya 13 iran 16,
 
Wamarekani wanasema wamefeli huko afaghanstan,wewe mnyatunzu wa IGAGANULWA unadai MMESHINDA.
Why Obama Will Fail In Afghanistan | Real Jew News
Kweli Mimi mnyantuzu wa Igaganulwa lakini siwezi Kukubali kile unachokisema!
Lengo la kuvamia Afghanistan lilikua Ni kuuangusha utawala uliokuwepo pale na kuvuruga kabisa makambi yaliyokua yakifanya harakati za kigaidi chini ya Alqaida. Sijui Hilo wewe unaona halijatimia? Kilichopo ni vurugu za Hapa na pale na Hali hiyo ndio ilioko Iraq. Sasa Mimi sielewi Kama malengo yalitimia then wewe unakuja unasema wameshindwa. Niwekee vita ambavyo vilikua katika malengo Yao ambavo walishindwa?
Nashindwa kuelewa unaposema Iran wanaendelea kitechnology alafu eti Israel au Us wao wabaki palepale.
Huo ushahidi unaotumia ni mtu Kama wewe na mapenzi yako unakusanya Yale uyapendayo ndio unaamua kutupia kwenye mtandao.
Kwenye mtandao kuna habari nyingi sana za kweli na uongo. Na hakuna ata taifa moja duniani ambalo linaweka wazi kwenye mtandao habari za idara ya ulinzi au za kijeshi.
Ata Leo ukigoogle Mfano manoari ya kijeshi ya Us; watakupa data Zake pale na uwezo wake na vita vingine, lakini hayo maelezo Yao hayamaanishi kua kweli hiyo manoali huo uwezo na matirio yaliyotumika ndio wameviweka wazi. Huo ni uongo. Nitakutolea Mfano Gari analotumia Rais wa Us; unaweza ukagoogle uone matirio gani yametumika na lina Ubora gani na uzito gani, hayo maelezo utakayosoma sio yote kua ni kweli watakuficha ata uzito wa Gari, kwasababu ukijua unakuja kua Gari linauzito gani unaweza ukajua kua Gari limebeba vifaa gani vya kujilinda na utumie silaha gani kulishambulia. Sijui umenielewa? Tumia mtandao kukusanya data na Pia tafuta wataalamu Personaly uongee nao wakupe data na Hapo sasa utachukua za kwenye mtandao ingawa zote si za kweli na hizo kwa mtu. Hapo ndio utapata picha.
Lakini kuja tu Na hoja zako ulizogoogle Mimi siwezi kukuelewa. Bora nile zangu MICHEMBE kuliko kuendelea kubishana.
Narudia tena IDF inatechnology ya Hali ya juu sana sambamba na ulimwengu wa sasa! Iran ndio wanatafuta hizo technology.
 
Wewe Danganyika na wikipedia mtu yeyote anaweza kuandika kama ni kujilimbikizia sifa mtu yeyote anaweza kazi kubwa iko kwenye MEDANI unaweza sema maneno mengi mpaka ukatisha watu lakini mtu hupimwa kutokana na vitendo vyake kama ni maneno wengi sana walishashasema lakini walipolianzisha walishindwa,Narudia tena nchi hizi mbili haziwezi kushambuliana bila msaada wa nchi nyingine hii ndiyo fact kwa maneno sawa wanaweza kushambuliana lakini si ki-vita.
Hakuna sehemu unazo weza kupata ukweli zaidi ya wikipedia.

Tuwachane na Wikipedia, twende tuongelee the facts, kama una uwezo wa kufanya electronic jammers hakuna sehemu ukashindwa kupita, na kama nilivyo sema mwanzo Iran atapita Saud Arabia na Jordan kwenda ipiga Israel hana shida ya kupitia Iraq na Syria.


We jiulize ile drone aliye iteremsha Iran ya USA aliteremsha vipi, we hujui kama ilikuwa one of a fleet of stealth aircraft, kapita pita vipi mle mpaa akazipenya siri zao zote ambazo wanasema hakuna Radar inaweza kuiona.


Jiulize ile drone ya Hazbullah ilifika fika vipi mpaa kuchukua picture kwenye sensitive"Israeli sites" na wakati Israel ndo wanajidai wana Radar zinaitwa UKUTA WA CHUMA walishindwa kuinasa.

Iran ana uwezo wakuidunda Israel bila msada wa nchi yoyote lakini Israel hana uwezo huo, mpaa apewe msada.
 
tuna jadili jambo ambalo hatujalifanyia utafiti au hatujasoma tatifi za watalam, israel na iran zipo kwenye mgogoro mda mrefu, tangu liundwe upya taifa la Israel,kiukweli israel ni taifa lenye nguvu za kijeshi mashariki ya kati kuliko nchi yoyote pale.ndio pekee yenye kumiliki silaha za atomic,iran ipo kwenye mchakato wa kuzitengeneza.ukirud nyuma miaka ya 67 nchi kadhaa za kiarabu ziliungana iktk vita vya kushtukiza vya kuifuta israel ktk siku ambayo wayahud wanasherekea sikukuu yao ambayo hata wanajeshi hawashili silaha.nchi hizo n jordan,Lebanon,Misri,syria,iraq,iran,tunisia na nyingnezo zilipigwa vibaya sna ndai ya siku sita zikasalimu amri,misriu ilipoteza theruf ya ardhi yake,syria mpaka leo haijarudishiwa ardhi ya milima ya goran,ndio muda umepita,mambo yamebadilika sana.lakin bado israel bado ipo mbali saa kiteknolojia kuliko iran.jaribu pia kuangalia hata kwenye rank za GFP ,israel ni ya 13 iran 16,
Lini Israel aliipiga Iran au unaota.

Wazee wa kazi wako kazini wana point Israel, wanangojea tu chance wa isambaze kama alivyo sema kiongozi wa Hazbullah Nasrallah; Je Israel atasubutu kuwachokoza Iran, wakati Iran wanaitafuta chance hio miaka, si dhani kama watawapa chance.

ahm.jpg
 
Kwenye wikipedia hata miminaweza kuandika na kupost vitu ninavyotaka mimi,jammer unaweza lakini kuna mambo ya msingi yanaweza kumshinda,wingi wa madege au ukubwa wa madege hakusaidii kupata ushindi maana Madege na Mizinga Kijeshi ni silaha za msaada sasa kwa mantiki hiyo katika akili yako unafikiri IRAN siku moja itaweza kupeleka wanajeshi wake wa ardhini kwa maana ya Infantry na kuikalia Israel?????Kuangusha Drone au kupitisha Drone kwenye anga la mtu isiwe kigezo cha mtu kushinda au kumpiga mtu.Naamini kama ungekuwa umepitia hata JKT ungekuwa umepata hata picha kidogo kuhusu nchi hizi mbili kupigana bila msaada wa nchi nyingine,Mimi narudia tu kukuelimisha nchi hizi haziwezi kupigana bila msaada wa nchi nyingine Ukatae au UKUBALI.
Hakuna sehemu unazo weza kupata ukweli zaidi ya wikipedia.

Tuwachane na Wikipedia, twende tuongelee the facts, kama una uwezo wa kufanya electronic jammers hakuna sehemu ukashindwa kupita, na kama nilivyo sema mwanzo Iran atapita Saud Arabia na Jordan kwenda ipiga Israel hana shida ya kupitia Iraq na Syria.


We jiulize ile drone aliye iteremsha Iran ya USA aliteremsha vipi, we hujui kama ilikuwa one of a fleet of stealth aircraft, kapita pita vipi mle mpaa akazipenya siri zao zote ambazo wanasema hakuna Radar inaweza kuiona.


Jiulize ile drone ya Hazbullah ilifika fika vipi mpaa kuchukua picture kwenye sensitive"Israeli sites" na wakati Israel ndo wanajidai wana Radar zinaitwa UKUTA WA CHUMA walishindwa kuinasa.

Iran ana uwezo wakuidunda Israel bila msada wa nchi yoyote lakini Israel hana uwezo huo, mpaa apewe msada.
 
Usitishwe na DOCTED PICTURE hiyo photoshop wengi wanajua kuzihariri picha
Lini Israel aliipiga Iran au unaota.

Wazee wa kazi wako kazini wana point Israel, wanangojea tu chance wa isambaze kama alivyo sema kiongozi wa Hazbullah Nasrallah; Je Israel atasubutu kuwachokoza Iran, wakati Iran wanaitafuta chance hio miaka, si dhani kama watawapa chance.

ahm.jpg
 
Kwenye wikipedia hata miminaweza kuandika na kupost vitu ninavyotaka mimi,jammer unaweza lakini kuna mambo ya msingi yanaweza kumshinda,wingi wa madege au ukubwa wa madege hakusaidii kupata ushindi maana Madege na Mizinga Kijeshi ni silaha za msaada sasa kwa mantiki hiyo katika akili yako unafikiri IRAN siku moja itaweza kupeleka wanajeshi wake wa ardhini kwa maana ya Infantry na kuikalia Israel?????Kuangusha Drone au kupitisha Drone kwenye anga la mtu isiwe kigezo cha mtu kushinda au kumpiga mtu.Naamini kama ungekuwa umepitia hata JKT ungekuwa umepata hata picha kidogo kuhusu nchi hizi mbili kupigana bila msaada wa nchi nyingine,Mimi narudia tu kukuelimisha nchi hizi haziwezi kupigana bila msaada wa nchi nyingine Ukatae au UKUBALI.
Wacha kuongea vitu vilivyo pitwa na wakati, sisi hatuongelei vita vya kagera hapa, tunaongelea Iran has a larger and advanced missile technology mpaa Israel amebakia kubweka tu kama mbwa, akiambiwa na Iran sogea anakunja mkia anakimbia zake.

Kwa hio ingekuwa vita vyote duniani kama unavyo ongelea wewe basi Israel hakuna hata vita kashinda, mana hata Lebanon hakuweza kukaa alikimbia, pale palestine kila siku anachapwa na Hamas halafu unasema kakalia nchi za kiarabu, pale Golan Syria anamlia time iko siku ataingia tu na atakimbia kama alivyo kimbia Lebanon.
 
Hakuna sehemu unazo weza kupata ukweli zaidi ya wikipedia.

Tuwachane na Wikipedia, twende tuongelee the facts, kama una uwezo wa kufanya electronic jammers hakuna sehemu ukashindwa kupita, na kama nilivyo sema mwanzo Iran atapita Saud Arabia na Jordan kwenda ipiga Israel hana shida ya kupitia Iraq na Syria.


We jiulize ile drone aliye iteremsha Iran ya USA aliteremsha vipi, we hujui kama ilikuwa one of a fleet of stealth aircraft, kapita pita vipi mle mpaa akazipenya siri zao zote ambazo wanasema hakuna Radar inaweza kuiona.


Jiulize ile drone ya Hazbullah ilifika fika vipi mpaa kuchukua picture kwenye sensitive"Israeli sites" na wakati Israel ndo wanajidai wana Radar zinaitwa UKUTA WA CHUMA walishindwa kuinasa.

Iran ana uwezo wakuidunda Israel bila msada wa nchi yoyote lakini Israel hana uwezo huo, mpaa apewe msada.

Ukisoma Global Firepower kwa Dunia Israel Iko nafasi ya 13 na Iran Iko nafasi ya 16.
Na kwa mashariki ya Kati Israel Ni ya kwanza ikifuatiwa na Iran, sasa Sijui nyinyi mnatumia vigezo gani kuibeza Israel?
Global Firepower watumia vigezo Kama 40 kuandaa hizo Renk zao. Sasa Sijui nyie mnavigezo gani ambavyo vinawafanya muiweke Iran juu?
Wakati Iran wanaangaikia kupata au kua na Technology ya kisasa kabisa Israel wanamiliki hizo technology muda mrefu sana. Sasa Sijui nani Yuko mbele?
Nakumbuka Ushauri alopewa aliekua Rais wa Iran Ahmedin Nejad wakati jeshi lake lilipo wateka wale Askari wa Kiingereza. Aliambiwa na Ayatola kua awaachie wale Askari Kwani anaweza kuingia katika vita na wasifikie malengo wanayoitaji hasa swala la Nyuklia.
Kwahiyo Bado Iran wanaitaji muda Zaidi wa kujipanga.
Wenzako wanatumia Satelite za kijasusi nyie mnafikiria kuzijam rada!?
Tengenezeni makombora ya kudengua satelite za kijasusi Hapo ndo ntakua vidume.
 
Sasa hivi nimegundua kuwa tunahangaishwa na Ushabiki wala siyo Facts ila kumbuka vita so Lelemama Israel na Iran hata siku moja hawawezi kuingia Vitani kwa kukurupuka kama wewe unavyorahisisha mambo.Kama ingekuwa rahisi kupigana vita kama unavyosimlia basi ISRAEL isingekuwako kwenye Ramani au kwenye Uso wa Dunia. Hapa ngona Nzito kwa kila upande.
 
Ukisoma Global Firepower kwa Dunia Israel Iko nafasi ya 13 na Iran Iko nafasi ya 16.
Na kwa mashariki ya Kati Israel Ni ya kwanza ikifuatiwa na Iran, sasa Sijui nyinyi mnatumia vigezo gani kuibeza Israel?
Global Firepower watumia vigezo Kama 40 kuandaa hizo Renk zao. Sasa Sijui nyie mnavigezo gani ambavyo vinawafanya muiweke Iran juu?
Wakati Iran wanaangaikia kupata au kua na Technology ya kisasa kabisa Israel wanamiliki hizo technology muda mrefu sana. Sasa Sijui nani Yuko mbele?
Nakumbuka Ushauri alopewa aliekua Rais wa Iran Ahmedin Nejad wakati jeshi lake lilipo wateka wale Askari wa Kiingereza. Aliambiwa na Ayatola kua awaachie wale Askari Kwani anaweza kuingia katika vita na wasifikie malengo wanayoitaji hasa swala la Nyuklia.
Kwahiyo Bado Iran wanaitaji muda Zaidi wa kujipanga.
Wenzako wanatumia Satelite za kijasusi nyie mnafikiria kuzijam rada!?
Tengenezeni makombora ya kudengua satelite za kijasusi Hapo ndo ntakua vidume.
Global Firepower siku zote haisemi ukweli ukiweka kila link utaona ziko tofouti kila mmoja inakuja na point zake.

Ni sawa sawa na joke I recall, Gen. David Petraeus; The Emirati Air Force itself could take out the entire Iranian Air Force, I believe, given that it's got, somewhere around 80 Block 60 F-16 fighters, which are better than the US F-16 fighters.

Hapo sijui walitaka UAE angamizwe kabla ya Israel, mana wangesubutu tu kwenda kuishambulia Iran basi kabla ya ndege zao kutua UAE wangetafuta nchi za kwenda kutulia hahaha.
 
Sasa hivi nimegundua kuwa tunahangaishwa na Ushabiki wala siyo Facts ila kumbuka vita so Lelemama Israel na Iran hata siku moja hawawezi kuingia Vitani kwa kukurupuka kama wewe unavyorahisisha mambo.Kama ingekuwa rahisi kupigana vita kama unavyosimlia basi ISRAEL isingekuwako kwenye Ramani au kwenye Uso wa Dunia. Hapa ngona Nzito kwa kila upande.
Sa hapa tunacho ongelea kama vita ikitokea, naona wewe sijui unaongelea kitu gani.

Na anaye mtisha kila siku mwenzake ni nani kama sio (Israel) Natanyahu hawajakosea walio muita Bibi kweli ni Bibi maneno mengi, kama angekuwa mwanaume siangenda kupiga Iran, sa anataka kupiga Iran kwa kupewa msada kama alivyo zowea, mwanaume haombi msada.
 
nafikiri hulijui taifa la israeli, ki ukweli israel inaweza pigana na taifa lolote lile duniani bila ya msaada wowote kutoka kwa taifa lolote lile. Israel ni taifa teule na ni taifa la mungu

usilopoketu! Thibitisha kwa vigezo, usiseme ulicho kalilishwa wewe!.
 
Ndugu unayosema ni kweli kabisa. Israel waliweza kumsulubu "Mungu" na kumtoa roho na kumpa umauti kwa siku tatu, mpaka pale "Mungu" alipofanya uungu wake na kujifufua na kuwapa wauaji wake hadhi ya "taifa teule". Unafikiri kuna kiumbe kinachoweza (taifa lisilo teule) linaloweza kupigana na Taifa lililomwadhibu Mungu?

"Mungu" baada ya kuadhibiwa na wababe hawa(Taifa la Israel) ilibidi awape hadhi maalum, hadhi ya uteule!

Taifa la Mungu? Nikumbushe,Kabila la "Mungu" huyu ni kabila
unaongea pumba HIVI MUNGU ANAWEZA KUSULUBIWA AU MUNGU ANAWEZA KUFA?.
SOMA UELIMIKE.
 
Mtoa mada aliuliza je Israel inaweza kwenda Iran peke yake bila MNYAMWEZI nyuma yake???? Mimi nikasema hawezi nikaenda mbali zaidi na kusema Hata Iran peke yake hawezi kwenda Israel bila BANIANI kuwa nyuma yake nikiwa na maana Hakuna mwenye uwezo kumpiga mwezake bila ya msaada kutoka nchi nyingine,Je wewe unasemaje????Take note Usidandanyike na Makaratasi na Wikipedia ukweli hupatikana On THE GROUND na si vinginevyo.
 
Mtoa mada aliuliza hivyo alijua wazi Israel hawezi kwenda bila USA, Mimi navyo ona Iran anaweza kwenda kuishambulia Israel bila msada wa adui yake USA au marafiki zake wowote wale.

Sababu ni nyingi sana na nimekueleza sababu chache.

Kumbuka Iran yuko katika sunction miaka na anauwezo wa kutengeneza ndege, na kuendelza nchi yake usisikie western na propoganda zao, kumbuka pia Syria anapewa msada na Iran wakipesa na silaha. Iran bado wako kwenye sunction, mwenye akili angeisha fahamu wazi Iran si lele mama.

Mimi last year nilienda Iran na kwa kweli nchi yao iko mbali sana kimaendeleo, sio wewe hata hujui Iran iko vipi.

Siku Israel atawekewa sunction basi ujuwe miaka miwili tu Israel inakufa kabisa.

Afu lazima ujuwe western media zote ni pro Israel lazima waiponde Iran kama wana njaa au hawana uwezo wakuwashinda Israel hizo ndo zao, wanapenda sana kuwatukuza Israel wakati hawana kitu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom