Hivi UKWELI ni nini? Ukweli uko wapi? Ukweli unathibitishwa na nani? Anyway, nadhani nauliza maswali magumu kwa watu waliochoka kufikiri. Nyie endeleeni kujifariji kama mwaathirika aliyebakiza mifupa mitupu na hoi kitandani huku akifikiri kupigana masumbwi. Nawashauri muanze matumizi ya ARV feki.Ukweli unauma sana