Recent content by SWEET RIZIKI

  1. SWEET RIZIKI

    Mtwara: Watoto wajitosa kwenye bwawa kuopoa mwili wa Mzee aliyekufa maji wakati akijikumbusha kuogelea

    Poleni sana Research, Mati, Gezaulole, Sogea , Maili 10, Mkangala na Naliendele yote.
  2. SWEET RIZIKI

    Huyu Samaki Anaitwaje Wakuu. Thanks.

    Hivi hawa wateule wa awamu hii wanaendaga Mbinguni kuna kadhaa nimewasikia wakisema " tukienda kule Mbinguni tutafatilia" au " Nyie hamjui ugumu wa Mbinguni" au " kule Mbinguni" Mmmh najiuliza maswali basi nahisi kama kina nanii sijui nani wale mnawajua :):):)
  3. SWEET RIZIKI

    Huyu Samaki Anaitwaje Wakuu. Thanks.

    Nimeishia kucheka tu na hizo komenti hadi machozi yamenitoka, Mungu Mkubwa.
  4. SWEET RIZIKI

    Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

    Wivu, pombe na misifa ukiweza kuwe mtii na kuitikia 'yes sweet', akikohoa we itika tu kama juha umeniita mpenzi hapo bi dada utakabidhiwa ATM Card na password haaa ;););)
  5. SWEET RIZIKI

    Msaada nimekamatika ndoa yangu ipo mashakani mrembo anataka kumpindua mke wangu

    Unamwambia tu unaogopaje Mali yako Mkuu we mweleze ukweli ajue wako wawili akikukosa ajue uko kwa bi wa pili.
  6. SWEET RIZIKI

    Msaada nimekamatika ndoa yangu ipo mashakani mrembo anataka kumpindua mke wangu

    Well said , mwanaume analialia nini wakati uwezo anao. Ongeza jiko ufurahie uumbaji. Hakuna mwanaume wa mke mmoja ni kujidanganya tu nafsi, pata raha duniani ili mradi ufate taratibu.
  7. SWEET RIZIKI

    Ni maamuzi gani magumu umewahi kufanya mpaka unajishangaa?

    Itakuwa una shida fulani kisaikolojia jitahidi uonane na wataalamu maana unafanya maamuzi dhaifu yasiyo na afya kwenye ustawi wako.
  8. SWEET RIZIKI

    Msaada: Namna ya kukausha miti

    Paukwa pakawa
  9. SWEET RIZIKI

    Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

    Picha ya hilo kombe linaogopesha lilivyokaa hiyo mimacho duh!
  10. SWEET RIZIKI

    Msaada: Mtoto wangu anatukana sana matusi ya nguoni nifanyaje ili aache?

    Karipio na fimbo . Msikae kimya . wambie asirudie kusema tena hilo neno charazaaaa.
  11. SWEET RIZIKI

    Tupia picha za Mademu wakali wa vyuo vikuu

    Mnawauza au vipi
  12. SWEET RIZIKI

    Will you marry me. .??

    Wao! Kweli mapenzi hayana ukamanda yaani kamanda silaha down haaaaa. Kupendwa raha sana
  13. SWEET RIZIKI

    Kumbe kweli inatokea mwanamke kupenda mwanaume kwa dhati na kulia!

    Nimewapata vema @ colietha na mkubwa karucee nishaanza mazoezi ya kujitoa hope nitafanikiwa kujitoa kwenye hicho kitanzi, Maombi yenu ni muhimu. Naona mkubwa Vladimir Putin nae kaamua kunifungulia Uzi kabisa wa kunishauri. Ahsanteni sana wote mliochangia kwa ushirikiano. Nimeanza kujihisi huru.
Back
Top Bottom