SWEET RIZIKI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 288
- 388
Hivi hawa wateule wa awamu hii wanaendaga Mbinguni kuna kadhaa nimewasikia wakisema " tukienda kule Mbinguni tutafatilia" au " Nyie hamjui ugumu wa Mbinguni" au " kule Mbinguni" Mmmh najiuliza maswali basi nahisi kama kina nanii sijui nani wale mnawajua 🙂🙂🙂Jiwe la baharini.
Likitoka baharini litapanda mbinguni kuwatawala Malaika.
Mtoa mada, wewe mchochezi.