Kuna njia nyingine zaidi ya kuiweka juani mkuu?Habari za muda wakuu naomba kwa anaejua namna ya kukauka mamiti maana nilitoka nyumbani baada ya miaka miwili nikarud sasa miti imekuwa mingi na haina kaz yeyote kuyachimba ni garama kubwa labda greda ndio itaweza naomba mwenye ujuzi anisaidie.
SA ni mbolea ya namna gani?Tafuta mbolea ya SA. Bandua ganda kwa mviringo kama pete upana wowote ule bora liwe mviringo. Weka hiyo mbolea juu ya hilo pengo. Baada ya 12 hrs huna mti tena unapukutikia chini umeoza kabisaaaaa. Muda si mwingi shina lake huoza hadi mizizi
Asante sana iyo mbolea gan mkuuTafuta mbolea ya SA. Bandua ganda kwa mviringo kama pete upana wowote ule bora liwe mviringo. Weka hiyo mbolea juu ya hilo pengo. Baada ya 12 hrs huna mti tena unapukutikia chini umeoza kabisaaaaa. Muda si mwingi shina lake huoza hadi mizizi
Brand new idea aisee.mh is that true???Tafuta mbolea ya SA. Bandua ganda kwa mviringo kama pete upana wowote ule bora liwe mviringo. Weka hiyo mbolea juu ya hilo pengo. Baada ya 12 hrs huna mti tena unapukutikia chini umeoza kabisaaaaa. Muda si mwingi shina lake huoza hadi mizizi
Sema ni aina gani ya miti hiyo?Habari za muda wakuu naomba kwa anaejua namna ya kukauka mamiti maana nilitoka nyumbani baada ya miaka miwili nikarud sasa miti imekuwa mingi na haina kaz yeyote kuyachimba ni garama kubwa labda greda ndio itaweza naomba mwenye ujuzi anisaidie.
SA ni mbolea ya namna gani?
Brand new idea aisee.mh is that true???
Anyway I'm gonna try it boss to see its efficiencyNenda duka lolote la mbolea waambie wakupe SA. Sulfate of Ammonia. Haya, kiswahili kingine
Jus try it and see. Ni maajab hufanyika kwani mambo hubadilika badala ya kukuzia huua
Anyway I'm gonna try it boss to see its efficiency