Huyu Samaki Anaitwaje Wakuu. Thanks.

Huyu Samaki Anaitwaje Wakuu. Thanks.

Magufish, sifa za samaki huyo hupenda sana ubabe na kujiona ameumbwa kutawala wengine bila kubughudhiwa. Pia anaamini akifa majini anaweza kuendelea kutawala ardhini. Yaani Magufish ni selfish na foolish
 
Huyo samaki anaitwa shetani mkuu.Anapatikana bandari ya darisalama tu maeneo ya ferry ndani ya jengo moja jeupe linafanana na majengo ya zamani ya wakoloni.

Aisee, kwa hiyo yee kazi ni kuwatafuna samaki wengine tu au...?. Shetani mkuu.

Hahahah Hatari Sana.
 
Magufish, sifa za samaki huyo hupenda sana ubabe na kujiona ameumbwa kutawala wengine bila kubughudhiwa. Pia anaamini akifa majini anaweza kuendelea kutawala ardhini. Yaani Magufish ni selfish na foolish

Hahahah, nimecheka sana mkuu.

Kwa hiyo anatamani bahari yote awe peke yake tu right...?

Naskia mpaka wavuvi pia wanamuogopa mkuu. Hatarious.
 
mungu akamuumba binaadamu halafu baada ya kumuumba kamsifia binaadamu kwamba anasura nzuri. vipi wewe hujui hata kuumba kitu halafu unamkashifu mungu , na hapohapo wewe unategemea kupata watoto ole wako mungu atakuletea watoto wenye sura kuliko ya huyo samaki siku hiyo utalia na utakuwa umesahau kama ulimkashifu binadamu mwenzako. hao wote mnaotoa kashfa jiangalie vizuri utakuta kila mmoja ana kasoro achana na dharau
 
Picha ya huyo samaki ukimuonyesha mtoto wa chekechea lazima azimie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom