For sure,mie ningependa kumshauri aende tu jwtz,coz uhamija kidogo maslai sio kama jwtz,mzee wangu ana mwenge na nyota na yupo uhamiaji but maisha yake ni ya kawaida sana,lakin watu wangine ambao wapo jwtz na wana level ya elimu sawa na mzee wangu wapo mbali sana kimaisha,ukweli watu wa jwtz...