Uhamiaji vs JWTZ

Uhamiaji vs JWTZ

For sure,mie ningependa kumshauri aende tu jwtz,coz uhamija kidogo maslai sio kama jwtz,mzee wangu ana mwenge na nyota na yupo uhamiaji but maisha yake ni ya kawaida sana,lakin watu wangine ambao wapo jwtz na wana level ya elimu sawa na mzee wangu wapo mbali sana kimaisha,ukweli watu wa jwtz wana maisha mazuri sana,hususani wale maafisa,huo ndo ushauri wangu.
 
Maisha n kujipanga tu hakuna cha jw wala uhamiaji ni wewe mwenyewe ukishajipanga tu basi na malengo,,,wapi maofsa lakin maisha ya kawaida mtaani zaid ya prestige tu,,,life z all about how u plan it,,kote kote freshi tu
 
Thread Hii Imejaa Michango Ya Rushwa
Rais Leo Kaiua Uhamiaji Kula Pesa Mabohora Walipokuja Sasa Mamlaka Chombo Cha Dola Tayari Kipo Kazini
 
Back
Top Bottom