Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

Nani awe Waziri katika Serikali ya Magufuli

Atakuwa lukuvi hamkumuona alivyokuwa anahangaika wakati magufuli anasalimiana na wajumbe wa mkutano mkuu
 
HAPA NI MAHALI PAGUMU SANA KWA MAGUFURI

AKIKOSEA AKAMWEKA MZEMBE FULANI JUHUDI ZAKE ZOTE ZITAKUWA ZERO """0"""

CHONDE CHONDE YEYOTE TIMU KUSINI HAFAI YATAANZA MAMBO YA UJOMBA~UJOMBA HAPO

HATIMAYE TUTAVUNA MABUA

ii
 
Waziri mkuu bila kumung'unya maneno atakuwa AGREY MWANRI. CCM wanamtegemea sana MWANRI katika kujibu hoja Bungeni na ndiye waziri mkuu ajaye.
 
Waziri mkuu bila kumung'unya maneno atakuwa AGREY MWANRI. CCM wanamtegemea sana MWANRI katika kujibu hoja Bungeni na ndiye waziri mkuu ajaye.

..Duh!!

..kwa kweli things r getting worse.

..huyo jamaa nimemsikia akimdhalilisha afisa mmoja mwanamama nikashangaa amefikaje ktk nafasi kubwa kama hiyo.

..yaani tuwe na raisi na waziri mkuu wote hawana breki ya mdomo na kiasi ktk kauli zao??

Cc Pasco, Nguruvi3
 
Last edited by a moderator:
Wana bodii naona wengi wetu tunapendekeza walewale mizigo/wanaofanya kazii kimazoea..

Embu tutoke nje ya box, mbona majembe yapo mengiii
mfano mdogo.. Mussa Azzan Zungu

Mjadala uendelee....
 
Huyo PM ajiandae kupambana na huyu kichwa maji mbishi ka amelamba sumu
SINA IMANI NA UKAWA
 
Unajua lowasa kinachomponza kukumbatia watu wenye kashfa na kushauriwa na watu kama wakina hussein bashe,hawaijui siasa ya nchi hawaijui nchi ilivyo na serikali,anakurupuka tu,isingekuwa hivyo lowasa angafit u pm,au mwakyembe,lukuvi,si wabaya
 
..Duh!!

..kwa kweli things r getting worse.

..huyo jamaa nimemsikia akimdhalilisha afisa mmoja mwanamama nikashangaa amefikaje ktk nafasi kubwa kama hiyo.

..yaani tuwe na raisi na waziri mkuu wote hawana breki ya mdomo na kiasi ktk kauli zao??

Cc Pasco, Nguruvi3
Mkuu wangu ukitaka Tanzania hii watu wanyooke, tunamhitaji Magufuli na Mwanri wenye mamlaka kamili bila kuingiliwa...
 
Hivi waziri mkuu kwenye Serikali ya Dr. Slaa atakuwa nani vile?

Mie nadhani Mbatia.
 
Waziri mkuu atakuwa ni Wilbrod Slaa.....kwa vile CCM watakuwa na idadi ndogo ya wabunge bungeni ukilinganisha na UKAWA. In fact baraza lote la mawaziri litakuwa la UKAWA. Then Rais Magufuli atabaki kuwa mkuu wa nchi na amri jeshi mkuu tu na waziri mkuu slaa atakuwa ndiye kiongozi wa serikali. Hapo vipi mkuu Marunde?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom