Recent content by swaju swagala

  1. swaju swagala

    Kwako Yeriko Nyerere

    umeandika sana lakini pumba tupu
  2. swaju swagala

    Halotel Kulikoni Jamani!

    Mbona mm kwangu ni murua tu
  3. swaju swagala

    Watanzania tuitangulize physics mbele

    [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. swaju swagala

    CHADEMA, kama Lowassa ni jembe Mbona hamumpi Ukatibu Mkuu?

    Hivi Kumbe nawe akili yako finyu, hv hata picha unashindwa kutazama! Et jipu, huoni majipu yanayotumbuliwa je na mh. Lowassa umeskia kaguswa au kuongelewa? Kama lowassa ni jipu kwann pombe asimtumbue? Halafu unajiona unajua kweli, kama ni elim haijakusaidia ww, zero brain kabisa ww, unafikiria...
  5. swaju swagala

    Haya nayo ni maonezi

    Upo sahihi mkuu 100%
  6. swaju swagala

    Magufuli awavuruga wapambe wa Lowassa. Sumaye, Mtei wahofia upinzani kufa

    Hivi Kumbe kuna gazeti la changamoto! Ndio nalickia sasa
  7. swaju swagala

    Huyu mtu si mzuri kabisa kuhusu Zanzibar, inawezekana ni kikwazo naye!

    Hamna kitu ktk gvt ya ccm na MAGUFULI wake, ila ukitaka kujua ugonjwa wa ccm umelia wapi litajwe jina LOWASSA utaona povu zitakapowaka maana wanajua alichowafanya, pombe nae chenga tu anashindwaje kutatua mgogoro wa zenj! I hate you, my president :eek::eek::eek:
  8. swaju swagala

    Magufuli aleta mkanganyiko kwa wananchi!!

    Ni sifa tu za pombe
  9. swaju swagala

    Magufuli: Tupo imara, atakayejaribu kutuyumbisha tutambomoa. Nitafia Tanzania...

    Huku mil. 50 zinasubiliwa na wanakijiji
  10. swaju swagala

    Huyu mtu si mzuri kabisa kuhusu Zanzibar, inawezekana ni kikwazo naye!

    Pombe na serikali yake ya ccm, yaan hawa jamaa(CCM) ni shida
  11. swaju swagala

    Siku 200 za Lowassa UKAWA

    Ccm wakisikia tu jina la mh lowassa bas wao matumbo joto :eek::p:p:p:p:p:p:p
  12. swaju swagala

    Siku 200 za Lowassa UKAWA

    Hakuna kitu wanachoogopa ccm kama wakisikia jina la lowassa likitajwa, kiboko ya ccm ni mh lowassa
  13. swaju swagala

    ZEC: Sheria ya Uchaguzi Zanzibar inaruhusu mtu kujitoa, si chama

    Kweli ww ndio poyoyo, kwan uchaguzi na kupiga kura utofauti wake nn?
  14. swaju swagala

    Lowassa anaishi kama rais nje ya Ikulu

    Hata hiyo mahakama basi itajengwa! Tutabaki kuambiwa mahakamani ya mafisadi itajengwa mpaka miaka mitano itaisha ili wabaki kumsema mzee wa watu maana wakifungua hiyo mahakamani ya mafisadi watafungana wao kwa wao na lowassa kubaki bila hatia hivyo watakosa la kumsemea maana wanamuonea tu kwenye...
Back
Top Bottom