Recent content by Swahili Ambassador

  1. Swahili Ambassador

    Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

    Ruge kama anahitaji figo anifate pm tuyajenge. Anahangaika wakati wauzaji wapo kibao kitaa huku. Atangaze offer watu tusaini kandarasi.
  2. Swahili Ambassador

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Yani leo hii sisi ndio tumekuwa wapiga ramli kwa Man City kila anapocheza? Maisha yanaenda kasi sana.
  3. Swahili Ambassador

    Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

    Ukawaida wake ndio ulileta mabadiliko makubwa sana katika tasnia ambao hao waigizaji wenye viwango walishindwa. Kwani Diamond ni muimbaji mzuri kiasi cha kusema anamzidi hata Beka Ibrozama? Ila utofauti wake ndio unawaweka mbali na wengine.
  4. Swahili Ambassador

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Naweka akiba ya maneno. Wale wapiga ramli ambao walitusumbua sana mwanzoni mwa msimu mpaka kufikia katikati, sasa wamerejea kwa kasi ya 4G.
  5. Swahili Ambassador

    Romy Jones tishio jipya la waigizaji wa kiume hapa nchini

    Kanumba kafa na Bongo movie yake. Mzee Yusuph kastaaafu na Taarab yake. Mpaka kuja kumpata wa kuziba mapengo hayo, sijui kama atatokea ndani ya karne hii.
  6. Swahili Ambassador

    Marehemu Roy alikuwa anajua sana

    Amit Mentor alitengeneza ngoma ya Suma G Vituko uswahilini... Beat simple, ngoma kali. (G)old Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Swahili Ambassador

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nasikia walikuwa wanashangilia goli la 100 la Hazard wakasahau kuweka ulinzi nyumbani. Yakawa kama ya Nkana...
  8. Swahili Ambassador

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Acha masihara shekh, kwani yule Master Pass wao hayupo? Au hukuangalia stats? Kwani hawaongozi hata umiliki wa mpira?
  9. Swahili Ambassador

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Shekh Yahya siku usipokuja huku utanihuzunisha sana. Nitapitisha mchango jf nzima tukuchangie kama utakosa hela ya bundle. Nimependa ujasiri wako wa kula matapishi yako mwenyewe.
  10. Swahili Ambassador

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Wahamiaji haramu nani aliwaambia mshushe turubai? Haya wekeni jengine, majirani tupo kuwabembeleza. Naona mnalia msiba ilhali kule mpangaji mwenzenu anasherehekea ushindi bila kusogea alipi.
  11. Swahili Ambassador

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kama nilivyo siwaamini mamlaka ya hali ya hewa Tanzania, ndivyo ambavyo siwaamini wapiga ramli wa jf. Maana tangu tumeanza mzunguko wa kwanza mpaka tunaumaliza hamna utabiri ulotimia. Kila siku wanatubadilishia watu wa kutupiga matokeo yake wamekosa mtu wa kutuletea.
  12. Swahili Ambassador

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Watu wengi hawaipendi Liverpool sijui kisa nini? Huku kutokufungwa mechi 18 ndio kunawafanya mkose amani hata mkashindwa kula vizuri pilau zenu za christmas? Au kuna jengine nyuma ya pazia? Wakati mnaombea Liverpool ifungwe, mna uhakika kuwa timu zenu zitakuwa hazipotezi mechi kwa kipindi chote...
Back
Top Bottom