WiZi hutokea hivi
1. Unapgiwa smu unaambiwa umeshnda zawad wanakwambia uongeze salio kisha utume kwenda namba ambazo hazianzii na sifur mfan 6543987654 ili kupata zawad yako na wengi wameibiwa kw njia hii
2. Kuiba kwa kufanya sim swap(re new line) hii hutokea pale mtu anaenda kwa wakala...
Correction ni hisa 560m. Nã sio 520b. Kama awali nlivo type. Kwahyo ukpga hesabu jumla ya hisa mara gharama ya hisa unapata 4.76billion. Na hyo ni .25 ya mtaji wao so ukizungumzia kufilisika kwa hii kampuni ni ndoto. By the way voda wameanza the rest watafuata
Piá kwa taarifa yako tu mtoa Post. Miamala inayofanywa na mpesa ya Vodacom kwa siku hakuna benki yyte inayoweza kuifikia kwa africa mashariki kwa siku. So huu ni mtandao mkubwa ambao suala lá kufirisika utaliskia kwa kuongopewa Tu.
Mboni unatoa taarifa za uongo kuhusu voda???? Aliekwambia wameuza minara nani? aliekwambia imefilisika nani? Tafadhari usiseme kitu kama huna uhakika na hicho kitu.
Ipo hivi ni matakwa kisheria kwa kampuni za cmu kuuza hisa zake ili wananchi wawe sehemu ya umiliki hivyo ktendo cha voda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.