Mjanja ni mimi tuu siku ile nakwea pipa saa kumi na moja jion JKNIA nili upload mbegu kwa demu wangu saivi tuna mtoto..Hizi habari za kuacha demu wako mtupu bongo wewe unaenda nje ni kilio..
Kuna baadhi ya mambo yanawahusu wakatoliki..Angeacha hewani bila kuwataja ingeonekana hayuko sawa..kama vile kuwalazimisha watu imani fulani wakati sio waamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.