Recent content by SuperSub

  1. S

    Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

    Mbona mimi saa tisa kasoro huku India nipo macho nawachabo tuu
  2. S

    Mahusiano na maisha ya Ughaibuni

    Mjanja ni mimi tuu siku ile nakwea pipa saa kumi na moja jion JKNIA nili upload mbegu kwa demu wangu saivi tuna mtoto..Hizi habari za kuacha demu wako mtupu bongo wewe unaenda nje ni kilio..
  3. S

    Moyo wa Yesu unakaribia kupasuka kwa jinsi tunavyomtesa siku hizi

    Kuna baadhi ya mambo yanawahusu wakatoliki..Angeacha hewani bila kuwataja ingeonekana hayuko sawa..kama vile kuwalazimisha watu imani fulani wakati sio waamini.
  4. S

    Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

    Moja niliona imeandikwa IKIUMA SEMA
  5. S

    Mwenye mimba kupewa Dawa zote hizi?

    Mbona mimi wangu Follic acid ametumia miezi yote mpaka kujifunguaa? Au kila hospital ina maelekezo yake..
  6. S

    Dar joto jamani khaaa

    Mbona hilo joto dogo..huku India hiyo ni baridi.. Huku tunachezea 40 to 50 Centigrade
  7. S

    Ahadi za uongo katika harusi zinaboa na kuvunja moyo, (tuwe wakweli)

    Mimi mzee wangu alinipa kamba ya ng'ombe akaniambia nitakuta n'gombe nyumbani mpaka leo hakuna cha n'gombe wala nini..nimebakia na kamba
  8. S

    Wadada, tissue na toilet paper hazitoi uchafu! Tumieni maji mkienda Msalani

    Mimi natumia maji then natumia toilet paper kufuta hayo maji matakoni maana ukiacha hayo maji matokon utapata fungus
  9. S

    Civil Engineering Special Thread!

    Umesema vyemaa...Asante kibarua mzoefu
  10. S

    Civil Engineering Special Thread!

    Unamaanisha nini mkuu?
  11. S

    Civil Engineering Special Thread!

    Karibu sana tubadilishane uzoefu
Back
Top Bottom