Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

Siku moja nilikuwa barabaran likanipita fusso limeandikwa" MWISHO WA USHAROBARO MAJUKUMU"
Nilicheka sana maana nilikumbuka maisha nikiwa sijaoa halafu pamoja na nashughuli zangu baba alikuwa anadiliki kuniongezea pesa pia.
Nilikuwa nafanya starehe nitakavyo hata geto nilikuwa silali yaan nilikuwa nabadili gest tu. Lakn ikafika wakat wake ambao hata kuichenji elf 10 ikawa shida. Sasa hivi mademu Nawapita kama siwaoni hata kuwatamani hakupo tena.

Naweza kuwataman mpaka niangalie kama kuna hela ambayo ipo ipo tu nayo wakat mwingne naona bora nikatandike bia tu..

Maisha ni elimu tosha
Hahahaha, the same to me
 
Kwa bandiko hili kuna watu wanaogopa maisha yao wanayoyaishi
Ila yote yanapita tu.
 
Hiyo ya mange kimambi inahusikaje hapo sasa? Shwain!!!
 
FB_IMG_1519933708459.jpg
 
MAWE YATAIVA NA KUNI ZITABAKI/ KAMA HUPENDI KUFUATILIWA NA WEWE USIFUATILIE YA WENZIO
 
Back
Top Bottom