Mimi Ni mume wa mtu,mke wangu yupo nje ya nchi kimasomo.
Natafuta mwanamke wa kunipa kampani wakati huu wa upweke mpaka pale wife atakaporudi....
Awe na sifa zifuatazo:
1. Miaka 20 hadi 34
2. Asiwe na malengo ya ndoa na mimi,Nimeishaoa
3. Anayeishi Tanga/Dar/Pwani/Morogoro atapewa kipaumbele...
Hi Ladies,
Natafuta rafiki wa kike/mpenzi tuwe kwenye mahusiano na baaade ndoa Mungu akibariki.
Awe tayari kunipa mapenzi yake yote nami nipo tayari kumuhudumia ipasavyo kama mwanamke wangu,na kumfanya awe mrembo maradufu
kwa yule aliyopo Geita/Kahama/Dar es salaam atapewa kipaumbele,na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.