SuperstarD
Member
- Oct 13, 2015
- 15
- 16
Utauzaje asali bila kuonjwa
Yah bt asilimia flan wakaka mna ushawish mkubw ktk hl na et dada akikataa bas uvumiliv unakushndaKwani ndo chanzo chake n kipi kama ni dini ndo imeanzisha basi hamtakiwi kudhini kabla ya ndo ila kama ni mfumo tu wa maisha ya binadam lolote laweza kuwa ni nyinyi tu wenyewe
Na ikitokea umeoa mkakosa watoto inakuwaje? Coz watoto n matokeo tu ktk ndoa..naweza sema n baraka tu za mwenyez MunguSababu kubwa ya kuoa ni kuwa na Familia yako mwenyewe
Familia ni Baba, Mama na mtoto/watoto.
Mwanamke ana thaman kubwa zaid ya gar....sio wa kutest test kila unapojiskiaWe ulishawai kununua gari bila ku test engine? Walau raundi moja au mbili
Best friends? Yah ninaoUna bf?!
Ni kweli...kitu chenye thamani kubwa huwezi kubeba tu bila kukijaribu na kuwa na uhakika nacho...ovaMwanamke ana thaman kubwa zaid ya gar....sio wa kutest test kila unapojiskia
Shake before use unaweza kukuta dawa kwenye chupa ishaganda.Habari wana JF, wakubwa shikamooni,
Samahani kama nitawagusa ila nimekutana na wakaka wengi na katika mazungumzo wengi wanapenda SEX BEFORE MARRIAGE.
Mwingine akadiriki hata kusema anataka binti amzalie mtoto ndo amuoe eti asijekuwa ameuziwa mbuzi kwenye gunia.
Naomba kuuliza sababu hasa ya kuoa ni nini?
Na je zipo sababu nyingine out of love?
acha kudukua profile za watu mkuuWw miaka 22 unaanza kuulizia mambo ya ndoa...soma kwanza
bado mwanafunzi huyoSasa umeolewa tayari?
Duuuh....waafrica bwana. Nani alisema lazima uoe au uolewe?
Mtu wa aina hii tena kupokea pokea hela za mkaka wa watu tena...changamoto hyoNa nyie kutaka matunzo kitimiziwa mahitaji yenu nk kabla ya kuolewa, huwa mnaitoa wapi hiyo kariba
Miaka 22 midogo?Ww miaka 22 unaanza kuulizia mambo ya ndoa...soma kwanza
Midogo sana kuingia kwny ndoaMiaka 22 midogo?
nmeipendaaaa hyoo ya mdukuziiiiiacha kudukua profile za watu mkuu