Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Aliyemdhalilisha Mama Lowassa akimbia nchi

Status
Not open for further replies.
Hiyo no jinai sio lazima ushike nchi ndo umshughulikie, hats sasa anapaswa kushitakiwa kwa udhalilishaji
 
hiyo no jinai sio lazima ushike nchi ndo umshughulikie, hats sasa anapaswa kushitakiwa kwa udhalilishaji

kwenye mikutano; wakati msaga sumu anatumbuiza ;

dada zetu wangapi wanashikwa ;

haki kwa wote
 
kwenye mikutano; wakati msaga sumu anatumbuiza ;

dada zetu wangapi wanashikwa ;

haki kwa wote

Umeongea point sana... Ila kuna watu watabisha,, kama Ni adabu na tabia njema kama ile ya kale "Old skul" basi iwe kwa wote.

Wanawake wengi wanashikwa makalio, mnasema pombe zake zimesababisha.. Hii pia sababu Ni hiyo hiyo.

Utasema nafasi ya mwanamke.. Hapa itabidi ujikite ktk kutetea mwanamke kama jinsia na sio hadhi yake ktk jamii.

Tukisema Hapana.. Ni hapana kwa wote.
 
kwenye mikutano; wakati msaga sumu anatumbuiza ;

dada zetu wangapi wanashikwa ;

haki kwa wote

Kama wanaridhia, hakuna shida. Hao dada zako pengine wanataka wachumba au ni ma mbulula hawajuwi haki zao kama wewe kaka yao.

Unaoneka uko mweupe kuhusu haki za kijinsia ndo maana una chekelea, dada zako wakishikwashikwa makario hadharani.
 
DSC01561.jpg


gazeti hili kwa urongo mwisho wa maarifa. mama lowassa hakuwahi kudahlilishwa picha hizo mmezitengeneza ili mje na urongo huo ati amekimbia nchi. mama lowassa anao ulinzi wa red brigade pamoja na wa serikali ambao hauwezi kuachia uzembe huo. tafuteni urongo mwingine huu mmechelewa
 
Uzandiki wa hali ya juu kbs, ukiacha politics pembeni huyo kijana hana adabu ni km alimshika mama yake mzazi. Shenzy type
 
gazeti hili kwa urongo mwisho wa maarifa. mama lowassa hakuwahi kudahlilishwa picha hizo mmezitengeneza ili mje na urongo huo ati amekimbia nchi. mama lowassa anao ulinzi wa red brigade pamoja na wa serikali ambao hauwezi kuachia uzembe huo. tafuteni urongo mwingine huu mmechelewa

Ile video uliiona?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom