Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

Mimi ni mwanamume niliyekubali kubeba mimba kwa sababu ya #MABADILIKO#. Je umeelewa sasa kura yangu ni kwa nani? Ni kwa Edward Ngoyai Lowassa aka FISADI MKUU aka MAMVI aka THE DON aka EDO,aka MAFURIKO aka FREEMASON aka ANAYEJINYEA JUKWAANI. Halafu nakupa kazi. Pitia huu uzi leo jioni saa 3 angalia Magufuli kapata kura ngapi na Lowassa ngapi na utujuze
 
Lowassa ✌✌✌✌
Viva Ukawa vivaa
 
12108814_124238777933843_5332296279864859326_n.jpg
 
mi kura yangu ni kwa lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Nimependa sana uchambuzi wako,

Ninachojua mimi ni kwamba mtu havai ko au sweta ili bridi ije bali arii huja ii dipo watu hauvaa masweta u makoti. Hapa najifunza kuwa watu hufuata majira na si majira yanayofuaa watu.

Tukubali Tukate, NI MAJIRA YA MORANI- Edward wa Ngoyai na mwaa LOWASA

Ikulu hiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
12119144_10203843514446574_3272229294571698578_n.jpg
 
Back
Top Bottom