Hata mimi nimeyasoma nikashangaa sana. Nadhani inasababishwa na utitiri wa vyuo vya uandishi wa habari. Vingi vitakuwa havina viwango na waandishi wenyewe wanataka sifa waonekane kuwa walikuwa wa kwanza kupost habari flani hata kama amezipata source isiyo na uhakika.
Mmmh! Nadhani wako tofauti. Mimi niliyenaye hataki kabisa nimsaidie hata kulea mwanae. Tulipoanza mahusiano alimuhamishia mwanae kwa dadake, na hata inapojitajika kitu shuleni kwa mtoto, mfano ada, hataki nimsaidie kulipa. Sasa mnanichanganya mbona? Au ananivuta ili nisikimbie? Majuzi mtoto...
Pale kwenye picha ya kuchanganya udongo kuashiria muungano, baba wa taifa alishika udongo peke yake. Mkono mmoja alishika udongo wa Zanzibar na mkono mwingine akashika wa Tanganyika halafu akauchanganya. (Picha inaonyesha). Karume amesimama pembeni anatabasam tu. Kwanini wa zanzibar hakuumwaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.