Mkuu mi ni mvutaji toka zamani,ila kwa now naona masista duu wengi wameingia huku tena wengine washakua watu wazima,ila japo wanatutumia kama sisi kuwapelekea wao hawakai maskaniToka zamani wanavuta bangi
ila ilikuwa kwa siri sana
siku hizi inakuwa open zaidi kama fashion..
nimeshangaa juzi nilikuwa naosha gari mahali, nikaona altereza imepaki mahali kuchungulia nikaona mtoto ameweka mguu juu ya stelingi, nikasogea kidogo loooooh kumbe mtoto alikuwa ananyonya mmmea isee yan huwezi amini ukimtizama looooh,ndio maana siku hizi wanasema wanaume hawawafikishi kileleni maana mtu amekula vitu vyake amekolea akikupa papuchi anaona kama unamkuna tu
Mie hata sielewi nimejikuta tu lakini ni starehe kama nyingine, kwani kuna tatizo??
Hivi kwanini masista duu wa mjini wamekua wala bangi sana?tena wasomi?tena they are proud?nini chanzo ya yote haya?
Toka zamani wanavuta bangi
ila ilikuwa kwa siri sana
siku hizi inakuwa open zaidi kama fashion..
Yani madada wavuta bangi hawafikagi kileleni mapema ,,,na siku hizi ni wengi kweli wanaovuta banhi unaweza kukuta hata mke au demu wako anavuta bangi
mkivuta nyie sawa tukivuta sio ooohhh tunachelewa kilele cjuij mfyuuuuuj mmekuwa dhaifu na michipsi yenu hyo, kukaa masaa yote na remote no mazoezi ili msingizie bangi eeeehh