Kwa wale wazee wenzangu, vijana wa miaka ile, naomba mniwekee track izi kama mtakua Nazi
1.GADO ...ZAY B FT INSPECTOR HARUN
2.MTULIZE...MABAGA FRESH FT NATURE
3. KOSA LA MAREHEMU....ORIGINAL VERSION YA USWAHILINI MATOLA
4.NIDHAMU...DUDU BAYA
5.NAKUPENDA TU RMX...DUDU BAYA
6.MAMBO...
Kwakuwa Muheshimiwa Rais wa JMT ametoa agizo kuwa majina ya watumishi wote waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi yawekwe hadharani, ningependa nitoe wito kwa waziri mwenye dhamana ya kusimamia utumishi wa umma aagize majina hayo yawekwe ktk tovuti ya wizara ili iwe rahisi kwa wahusika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.