Recent content by Sungusunguu

  1. S

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Mkuu ii bado ipo????
  2. S

    Msaada:Matibabu ya ugonjwa wa keratoconus

    Nenda KCMC yupo dr muna ana deal na cornea issues
  3. S

    Nina swali napenda kujuzwa kwa mwenye elimu kidogo juu ya ukimwi

    Wakuu habarini. Nina swali napenda kujuzwa kwa mwenye elimu kidogo juu ya ukimwi, nilipenda kufahamu ni mazingira gani ni rahisi zaidi mtu kuambukizwa ukimwi pale ambapo yule asie nao kufanya mapenzi na alie na ukimwi lakini hatumii dawa na aliye na ukimwi na anatumia dawa (ARVs)?
  4. S

    Car4Sale Magari used Tanzania

    Crown athrete ngap bei?
  5. S

    Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga

    Na ili tukio limetokea mjini Tunduma
  6. S

    Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga

    Habarini! Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga wakiwa pamoja ndani na mpaka sasa mwanaume kakamatwa na yuko polisi. Je, ni sahihi kijana huyo kushikiliwa na je sheria inasemaje mtu akifa ndani ya nyumba na mkiwa pamoja kwani kwa maelezo ya uyo jamaa anadai yeye aliwahi kulala na mwanamke...
  7. S

    Biashara ya vitunguu

    Ulilimia wapi.
  8. S

    Kwanini Lissu, anang'aa hivi?

    Niyeyee
Back
Top Bottom