Wakuu habarini.
Nina swali napenda kujuzwa kwa mwenye elimu kidogo juu ya ukimwi, nilipenda kufahamu ni mazingira gani ni rahisi zaidi mtu kuambukizwa ukimwi pale ambapo yule asie nao kufanya mapenzi na alie na ukimwi lakini hatumii dawa na aliye na ukimwi na anatumia dawa (ARVs)?
Habarini!
Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga wakiwa pamoja ndani na mpaka sasa mwanaume kakamatwa na yuko polisi.
Je, ni sahihi kijana huyo kushikiliwa na je sheria inasemaje mtu akifa ndani ya nyumba na mkiwa pamoja kwani kwa maelezo ya uyo jamaa anadai yeye aliwahi kulala na mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.