reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,932
Sasa kishindo cha nini mkuu?Kuna masuala mengi ya kujibu
1 Alikuwa wapi mpaka mwenziwe ajinyonge?
2 Hakusikia kishindo chochote?
3 Kwanini amfunguwe kamba badala ya kuita polisi nao ndio wakafungua kamba?
4 Mwilini mwake ana mikwaruzo yoyote ile?
5 Kuna ujumbe wowote wa marehemu wa kujinyonga.
Simu ya marehemu inahitajika kuangaliwa kwa umakini kama kuna ujumbe wa usaliti kwa mwenza wake mpaka kupelekea mauti kumfika.
Jeshi la polisi lifanye kazi yake kwa haki pande zote isitumuke hisia bali ushahidi kamili wa kujiridhisha.
Lunatic![]()
Kwani kajitupa dalini?
Kama kweli kajinyonga achilia mbali kama kosa na dhambi kwa Mola wake..
Achilia mbali mzigo aliyomwachia mwezake,
Anampa Mwenza wake wakati mgumu kwa Jamhuri, jamii, ndugu na marafiki,
Huyu atabaki kunyooshewa vidole,
Ya kua ameua au kasababisha mwenzake ajiue..
Unajinyongaje ndani, Si kutafutiana lawama huko, Si angeenda mbali kabisa..
Kamuacha na huzuni, Haitoshi inakuja mashaka ya kuhukumiwa, Bado anasubiriwa na Lawama za jamii...
Katika Mazingira kama haya Sijui huyo marehemu atamkumbuka kwa huzuni au masononeko..
Marehemu wengine wanazingua sana, R.I.H.
......Kama ni kweli.
