Kuna maeneo ya Kisemvule nayafahamu unapata kiwanja tena kikubwa tu kizuri hakipo bondeni na kimepimwa. Pi pameendelea maji umeme na daladala zipo.
Ila ndani ya Dar es Salaam mmmmmh ni ngumu sana.
Naishi Dar ila kwa maeneo nayoishi mm bila Mil 15 na kuendelea wala usifikirie kuhusu kiwanja...
Habari wakuu? Natumaini wote ni wazima.
Wakuu naomba kwa mwenye kufahamu taratibu za kukomboa (to claim) mafao ya NSSF iwapo mtu ulikuwa unafanya kazi na mwajiri alikuwa akipeleka michango.
Mwaka 2017 hadi 2019 nilipata fursa ya kufanya kazi kwenye sekta ya masuala ya hospitality. Mwajiri...
Elimu Fedha (Financial Literacy) Itawakomboa Watu Wengi Kiuchumi
Habari wana JF, poleni na hongereni kwa shughuli za ujenzi wa Taifa letu. Andiko langu litaangazia jambo ambalo halizungumziwi sana ama halionekani wazi wazi lakini lina mantiki kubwa kwenye ukuaji wa uchumi kuanzia ngazi ya mtu...
Habari wana JF, poleni na hongereni kwa shughuli za ujenzi wa Taifa letu. Andiko langu litaangazia jambo ambalo halizungumziwi sana ama halionekani wazi wazi lakini lina mantiki kubwa kwenye ukuaji wa uchumi kuanzia ngazi ya mtu mmoja mmoja.
Nitaanza kwa kufafanua elimu fedha ni nini, kuna...
Kujifunza ni kitu kizuri sana... Mtu anayesema hawezi kutoa zaidi ya laki nne kwa pc used na hawezi kutoa laki 7 ka pc mpya ni mtu asiyefahamu anachozungumza.
Gaming PC zipo kwenye class ya high end PCs, ni computer zenye uwezo mkubwa sana na specifications zake ni za juu. Cha pili ni kuwa hizi...
Mafuta yatakuwa bei rahisi kwa wateja wa Tanzania au Uganda?
Bandari si ipo kwetu sasa punguzo la bei litakuja vp tofauti na sasa?
Samahani mkuu mi sio mwanauchumi nauliza kwa lengo la kujua tu
Ili ufanikishe wazo lako kuna mambo ambayo ni ya msingi inabidi uyazingatie (hasa unapohitaji lipatiwe ufadhili).
1. Je wazo lako linawezekana kutokea (Is the idea feasible?)
2. Wazo lako linaweza kuleta mabadiliko/matokeo?
3. Wazo lako linaweza kudumu ? Linaweza kufanya kazi kwa muda mrefu na...
Hii issue ya kutoza kodi maudhui mtandaoni kiukweli sijawahi kuielewa. Tanzania bado tuna tatizo la "community awareness", mambo mengi yanafikia hatua ya kuwa sheria lakini majority ya wananchi hawana uelewa wa kutosha. It sad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.