SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Kitendo cha kuweka kodi kwenye kitu ambacho sio chako kitakuja kuwagharimu TCRA.
YOUTUBE sio mali ya serikali ya Tanzania nyie mnaanzaje kutoza kodi? Huo ni wizi kama wizi mwingine tu.
Wao YOUTUBE wanajua wanapataje faida au hasara hivyo wameamua kutoa huduma ya bure dunia nzima, wao wanategemea ads tu nadhani kupata faida sasa nyie mnaanzaje kuchaji hela?
Mimi nataka nianzishe chanel ya youtube nielimishe watu kuhusu ufugaji ila mnataka mnichaji kodi ila msanii anayeimba singeli na baikoko mnasema mtamsamehe kodi 😂
YOUTUBE sio mali ya serikali ya Tanzania nyie mnaanzaje kutoza kodi? Huo ni wizi kama wizi mwingine tu.
Wao YOUTUBE wanajua wanapataje faida au hasara hivyo wameamua kutoa huduma ya bure dunia nzima, wao wanategemea ads tu nadhani kupata faida sasa nyie mnaanzaje kuchaji hela?
Mimi nataka nianzishe chanel ya youtube nielimishe watu kuhusu ufugaji ila mnataka mnichaji kodi ila msanii anayeimba singeli na baikoko mnasema mtamsamehe kodi 😂