Recent content by SUNGURA MPOLE

  1. S

    Kisonono na Kaswende

    Habarini wana jamvi, nilikua nauliza je magonjwa ya kisonono na kaswende na magonjwa mengine ya zinaa yanaweza kuambukizwa kwa kushea choo na bafu? Mana nina mschana wangu msaidizi wa kazi za nyumbani amepima na kukutwa ana moja ya ugonjwa wa zinaa kinachonitisha ni kuwa yeye anashea choo na...
  2. S

    Wimbo mzuri sana huu na unanifariji sana hasa baada ya kazi

    MI NI MUISLAM LAKINI NAUPENDA SANA HUU WIMBO WA KWETU PAZURI, sijui ni kutokana na manyanyaso ninayoyapata huku ukweni?
  3. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    MAISHA SINA TABIA KAMA HIZO, istoshe wifi zng wanakaa mbali sn kijijini nami naish mjini.
  4. S

    nahitaji msaada wa mawazo wapendwa....

    usinichekeshe nina majonzi mwenzio!
  5. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    HATUJAWAH KUWAJOPA KWANI WKT TUNAOANA MIMI NA YEYE TULIKUA WAAJIRIWA NA TULIPANGA JINS YA KUTUMIA HELA NA AKIBA TULIIDUDULIZA MPAKA TUKAWEZA KUFUNGUA BIASHARA NA KUJENGA, ninavyoelewa jambo jingine lililowaudhi mawifi ni WALIKUA WANANILAZIMISHA NIACHE KAZI NA NIMUACHE MUME WANGU MJINI NIKAKAKAE...
  6. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    MIMI NI MPARE, ila nilizaliwa na kulelewa mjini huku kwa wachaga na kwa bahati mbaya makuzi mengi nililelewa na mama baada ya baba kufariki, nimesoma hadi form 6.
  7. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    mwanzo niliumia sn nilitaka kuondoka lkn nikamwangalia mwanangu nikaangalia na haliyng nikajua nitakapojaribu kuondoka nitapoteza haki zt za wanangu ambapo nilipata shida sn kuzitafuta
  8. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    SIJATHUBUTU KUMUULIZA ila wiki iliyopita nilikua kazini ghafla nikaanza kuishiwa nguvu nikamuomba anisaidie anipeleke hosp. Akakataa nikamwomba shemeji yng akaja akanipeleka kumbe presha na skari vilikua vimeshuka ikabidi nilazwe hajaja kuniangalia wl kunipigia simu hadi nilipotoka hosp. KWA...
  9. S

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    Nimeolewa na nina mtoto 1 wa 5yrs, mwanzo wa ndoa yetu tulikuwa na maisha ya chini ndugu wa mume waliniheshimu nami niliwaheshimu, MUNGU akatujalia rizki tukajenga na tukafungua biashara, mawifi (Wamachame)wote wameolewa na wanamaisha mazuri wakaanza tabia ya kuja kwangu ghafla kwa wakati...
  10. S

    Mikoa gani watu wao wanaishi kwa furaha Tanzania

    ukiongea mkoa hutapata jibu sbb kwenye mkoa kuna wilaya nyingi na kila wilaya ina maisha yk.
  11. S

    Mama mkwe amegeuka kero kwenye ndoa yangu

    mwanzo mume wangu alikua na msimama lkn mama yake akaanza kumlalamikia kuwa alimzaa na kumlea kwa shida sana na baba yake alimtelekeza akahangaika kumlea mwenyewe na anamtoto wakiume 1 tu (mumewangu)alitegemea akioa mkwewe(mimi) nitaenda kukaa naye, mwanae akaanza kubadilika na kuanza...
  12. S

    Mama mkwe amegeuka kero kwenye ndoa yangu

    SWALA LA KUENDA KIJIJI NILILIKATAA MAPEMA KABISA NA MUME ALINIUNGA MKONO lkn jins siku zinavyoenda mbele mume anabadilika ktkn na maneno anayoambiwa na mama yk na dada zake!
  13. S

    Mama mkwe amegeuka kero kwenye ndoa yangu

    ASANTE KWA USHAURI kweli nilishakaa na mama nikamweleza kuwa sitaweza kuacha kazi nikakaenaye kijiji si tuu kutokana na ugumu wa maisha bali pia kuishi mbali na mume kutachangia uwezekano wa kuleteana ukimwi, mama hanielewi ndo kwanza kila siku akaanza kulalamika anaumwa leo kichwa,kesho tumbo...
  14. S

    Mama mkwe amegeuka kero kwenye ndoa yangu

    ASANTE NYANI NGABU nisaidie nifanye nini?
Back
Top Bottom