Recent content by sulle my nem

  1. sulle my nem

    Kamati kuu CHADEMA kukutana kikao cha dharura Dar es Salaam

    machali ni kapi au lenyewe ni tunda maana limetoka nccr likaenda act likaje kwenu mkalipokea
  2. sulle my nem

    Askofu Gwajima aitwa Ustawi wa Jamii kuhojiwa

    alishasema anazaaaa....kwan hana watt???we mwenyewe baba sio wako unaekaa nae...muulize mama ako atakwambia
  3. sulle my nem

    Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

    so hata raisi wako nae mwanamke maana anakipenda kipind cha wambea
  4. sulle my nem

    Sura halisi ya Soudy Brown wa Clouds FM

    najua wengi hatumfaham huyu jamaa anayejulikana kama soudybrown muasisi na anayeendesha kipind cha shilawadu kinachorushwa n la ijumaa kuanzia saa 3 usiku na clouds tv... wengi wetu hatumfahamu kutokana na tabia yake ya kuvaa mzura mda wote....mjue sasa
  5. sulle my nem

    Muheshimiwa Rais jipange maBourgeoisie wamekutangazia Vita rasmi!

    ajipange na dola kibabe au....wale wasomi watatumia sheria mlizoziweka nyny wenyewe kuwaadhibu
  6. sulle my nem

    Paul Makonda avamia Clouds Media na kuwatisha SHILAWADU

    asee makonda sio kiumbe wa dunia hii asee....anasumbua sana watu yaan hata hafikirii kesho yake itakuaje....
  7. sulle my nem

    Asilimia 88 za Lissu zimsaidie Magufuli kujitafakari

    kwamaana hii tutegemee kuona watumishi wakihenyeshwa mahakaman kwa matumiz ya madaraka kinyume na sheria na haki kutendeka maana hata majaji sasa watakuwa makini kama raisi wao tundulisu na kuja kusema kweli pale penye ukweli na kusema si kweli pale pasipo na ukweli....kwamaana kama...
  8. sulle my nem

    Serikali ya Magufuli manji raia wa Tanzania

    unajua bashite na sizonje ni watu wa ishu ndo hzo znazowapa shda hao gsm na nas haulage na hao matajie wengne mana inapotokea wakaombwa pesa au hata msaada mkubwa nao wakazngua ndo hvyo wanabambikiwa kesi zisizo na kichwa wala miguu....bt manji aliombwa msaada akazngua ndo wanamtaftia zengwe had...
  9. sulle my nem

    UGANDA: Msemaji wa Jeshi la Polisi auawa kwa risasi pamoja na walinzi wake wote

    taarifa zilizonifikia hivi punda kutoka nchi jirani ya uganda ni kwamba aliyekuwa I.g.p msaidizi bwana andrew kawesa ambaye alikuwa na tuhuma za kuwatesa wapinzani nchini humo hasa dr kiiza amepigwa risasi na mlinzi wake kisha kutelekezwa garini huku mlinzi huyo akidaiwa kutokomea kusikojulikana
  10. sulle my nem

    Meya wa Ubungo kufungua kesi ya jinai dhidi ya Paul Makonda kutokana na madai ya kuwa na vyeti feki

    Inamaan woote mnaotaka makonda aachwe kwa kufoj vyet kisa anatenda Kazan hasa za kujiuzsha kwenye tv na insta,hamjui km kufoj vyet ni kosa...angekua kafanya hvo mtu km mm mngesema niachwe?mbona wale waliotimuliwa makazin mlifurahia???kumbe mko wajinga kiasi hiki...mmelishwa nn na naamn wote...
  11. sulle my nem

    Barcelona yaichanachana PSG, yaweka rekodi mpya Ulaya

    Jaman acheni kupga kelele...barca. bado ana wakat mgum na hata tim zngne maana mchezo wa barca wa slow motion had wafke kwenye box ndo washoot tambua kuna bayern wazee wa mchaka mchaka ahainaga kuremba...lakn pia kuna real madrid wazee wa plan B country er attack so ndo kwanzaa waelekea...
  12. sulle my nem

    Mwenye gari aina toyota mark x nanunua

    Yeyote mwenye gari aina tajwa hapo juu nahitaj kuinunua so kama unayo au mtu wa karibu na ww anayo basi njoo tufanye biashara...bei na picha yake ubaon kwanza
  13. sulle my nem

    Kuna mtu anaweza kuniambia 'ideology' ya rais Magufuli

    Ideology ya magu ni monopartism ndo itakuza uchumi ila hata hyo ideology ynywe anashndwa nn afanye ili kuifikia maana kuna katiba na sheria zinambana ...ye alikua anajua urais ni kama baba na watt wake anaamua tu leo vaen bukta,wanavaa,leo jazaneni mimba,wanajazana hahahaha....saiz kapanic tayar...
Back
Top Bottom