Recent content by sulfametopyrazine

  1. sulfametopyrazine

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu. Bei ni 30m ila maelewano yapo (ni cha kwangu mwenyewe sio udalali) piga 0754-865092. Asanteni muwe...
  2. sulfametopyrazine

    msaada wa ku.track simu kwa IMEI

    nilikuwa na kasimu kangu nmekupata juzi tu. sasa cha kushangaza kuna wale wahuni wa bodaboda wakanikwapua. simu yenywe ni iphone7 plus, nmejaribu kutumia find my iphone bila mafanikio maana sio accurate kiivo kwa TZ yetu hii na bado sijaiweka kwny lost mode. Sasa km kuna mtu mwnye utaalamu wa...
  3. sulfametopyrazine

    Brand New smartphones Kwa Bei nzuri

    Mkuu natafuta lgG2...naweza pata..ss wengne budget ndg hatuziwez hzo ulizoweka juu...
  4. sulfametopyrazine

    Kwa nini samsung waweke snapdragon 823 kwenye mashine yao mpya-Samsung galaxy note 6?

    I think exynos 8890 ndo nzur zaid..maana ina lightning speed... Wakiweka snapdragon wasahau kushindana na Apple's A9 or whatever is coming
  5. sulfametopyrazine

    Funniest movie quotes ever!

    "You son of a bitch better get down on your knees and pray to god that I don't find you cause if I do, Mark my words I'll cut you from bones to stew. ; - prison break
  6. sulfametopyrazine

    Ni movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?

    XIII part 1 na 2... Ni balaa
  7. sulfametopyrazine

    TRA na ushuru wa kuingiza gari

    Wana calculator lao hilo ni hatar.. Unaingiza sijui mwaka, CC, model hio bei inayotoka hapo..utajuta!!! Bora mie na baskeli yang
  8. sulfametopyrazine

    Magufuli akacha Mahojiano ya BBC

    Mbona ni obvious Jana walisema BBC kwamba Leo mh. Magufuli atakuwa in air hata mm nmeshangaa kuona hajahojiwa
  9. sulfametopyrazine

    Tupia majina ya baa za kibongo

    NY*ge bar... Mabwepande hio
Back
Top Bottom