kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu. Bei ni 30m ila maelewano yapo (ni cha kwangu mwenyewe sio udalali) piga 0754-865092. Asanteni muwe...
nilikuwa na kasimu kangu nmekupata juzi tu. sasa cha kushangaza kuna wale wahuni wa bodaboda wakanikwapua. simu yenywe ni iphone7 plus, nmejaribu kutumia find my iphone bila mafanikio maana sio accurate kiivo kwa TZ yetu hii na bado sijaiweka kwny lost mode. Sasa km kuna mtu mwnye utaalamu wa...
"You son of a bitch better get down on your knees and pray to god that I don't find you cause if I do, Mark my words I'll cut you from bones to stew. ;
- prison break
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.