Kwa nini samsung waweke snapdragon 823 kwenye mashine yao mpya-Samsung galaxy note 6?

CORAL

JF-Expert Member
Jun 26, 2011
2,813
1,824
Wakati mwingine samsung siwaelewi kabisa. Inasemekana toleo lao jipya la samsung galaxy note 6 litakuwa na processor aina ya snsodragon 823. Kwa nini wasiweke ama sd 820 au exynos 8890 ambayo ndio mitambo mipya yenye nguvu?
 
sasa mkuu kama 820 ina nguvu huoni 823 itakuwa na nguvu zaidi? hio soc ya 823 (au jina lolote itakayoitwa hapo baadae) haijatoka bado, itatoka baadae mwakani.

kwa competition ya sasa kutoa simu yenye soc ya kizamani ni kama kujitoa kafara
 
sasa mkuu kama 820 ina nguvu huoni 823 itakuwa na nguvu zaidi? hio soc ya 823 (au jina lolote itakayoitwa hapo baadae) haijatoka bado, itatoka baadae mwakani.

kwa competition ya sasa kutoa simu yenye soc ya kizamani ni kama kujitoa kafara
Nimekupata vizuri yaani kimsingi nimekosea kudhani sd 823 ni chini ya 820. Nimegundua baada ya kupost. Ningekuwa na uwezo wa kuifuta usingeiona hii thread.
 
I think exynos 8890 ndo nzur zaid..maana ina lightning speed... Wakiweka snapdragon wasahau kushindana na Apple's A9 or whatever is coming
 
I think exynos 8890 ndo nzur zaid..maana ina lightning speed... Wakiweka snapdragon wasahau kushindana na Apple's A9 or whatever is coming
kwenye s6 wanatumia zote mbili na snapdragon 820 imeipita hio exynos kwenye gpu na single thread perfomance wakati exynos yenyewe ina multi threaded perfomance kubwa.

pia upande wa modems mambo ya wifi, speed ya internet na upigaji simu snapdragon siku zote wanakuwa juu. ila exynos nayo ina advantage sababu ni ya samsung hivyo wanafanya optimization ya software kuanzia hardware level.

hi A9 ukitoa single thread perfomance kila idara imepitwa na snapdragon 820.
 
sasa mkuu kama 820 ina nguvu huoni 823 itakuwa na nguvu zaidi? hio soc ya 823 (au jina lolote itakayoitwa hapo baadae) haijatoka bado, itatoka baadae mwakani.

kwa competition ya sasa kutoa simu yenye soc ya kizamani ni kama kujitoa kafara
Mkuu Chief-Mkwawa naomba unijuze hili japo kwa ushauri. Hivi note 3 korean version zina speed ya 2.3Ghz na kurun Snapdragon kama zilivyo matoleo ya marekani?. Maana naskia kuna zenye Octa Exynos ambazo haziclock zaidi ya 1.9Ghz.

Msaada wa kiutaalamu mkuu. Na je ni nzuri hizo korean version?. Band za LTE zinaweza fanana na za mitandao ya simu ya Tanzania?
 
Mkuu Chief-Mkwawa naomba unijuze hili japo kwa ushauri. Hivi note 3 korean version zina speed ya 2.3Ghz na kurun Snapdragon kama zilivyo matoleo ya marekani?. Maana naskia kuna zenye Octa Exynos ambazo haziclock zaidi ya 1.9Ghz.

Msaada wa kiutaalamu mkuu. Na je ni nzuri hizo korean version?. Band za LTE zinaweza fanana na za mitandao ya simu ya Tanzania?


mkuu ghz nyingi haimaanishi kwamba processor ni nzuri. ghz inaleta maana pale tu inapokuwa architecture ni moja. mfano chip mbili za snapdragon 800 moja ikiwa 1.5ghz na nyengine 2.0ghz basi ile yenye ghz nyingi itakuwa na nguvu zaidi ila ikiwa moja ni exynos na nyengine snapdragon ghz si kigezo kizuri.

most of time soc za snapdragon zinakuwa na single thread perfomance kubwa, gpu kubwa na multithread perfomance ndogo sababu zinakuwa na core chache. wakati exynos yenyewe multithread perfomance inakuwa kubwa sababu ina core nyingi.

kujua kama inasuport band za kwetu huku itabidi uijue exactly ni modal ipi sababu hata hizo za exynos ni nyingi

nenda setting then about halafu utaiona aina yake mfano N9005
 
mkuu ghz nyingi haimaanishi kwamba processor ni nzuri. ghz inaleta maana pale tu inapokuwa architecture ni moja. mfano chip mbili za snapdragon 800 moja ikiwa 1.5ghz na nyengine 2.0ghz basi ile yenye ghz nyingi itakuwa na nguvu zaidi ila ikiwa moja ni exynos na nyengine snapdragon ghz si kigezo kizuri.

most of time soc za snapdragon zinakuwa na single thread perfomance kubwa, gpu kubwa na multithread perfomance ndogo sababu zinakuwa na core chache. wakati exynos yenyewe multithread perfomance inakuwa kubwa sababu ina core nyingi.

kujua kama inasuport band za kwetu huku itabidi uijue exactly ni modal ipi sababu hata hizo za exynos ni nyingi

nenda setting then about halafu utaiona aina yake mfano N9005
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom