Recent content by suley hazard

  1. suley hazard

    Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

    Ni kawaida wanyakyusa kwenye mahari wanapenda sana msumbuane. Ila ni watu wanaopenda sana undugu na ukarimu ila wanawake wao wanapenda ubabe na ujuaji. Wakishajua kuuza nguniani na maparachichi sokoni wanakua hawaheshimu tena wanaume na wengi wao wanalea familia bila wanaume. Pia ukioa...
  2. suley hazard

    Fatma Karume afurumushwa IMMMA Advocates

    Dah kwa style hii ndiyo maana mbogamboga wanashinda chaguzi zote. Yaaani hata barua simple kama hiyo watu hawaielewi.
  3. suley hazard

    Nampenda sana Relief Mirzska

    Dah, huyu "jamaa" naona kaamua kujipigia "assist" ili kujiondolea " gundu". Halafu "dume" kuwa na id mbili za jinsia tofauti ni kujipandikiza "vimelea" vya ugashoo
  4. suley hazard

    Msaada wa namna ya kupata mawasiliano yangu ya nyuma

    Habari za muda huu wanajukwaa, poleni na shughuli za ujenzi wa taifa. Ni takribani miezi miwili sasa tangu nipatwe na msiba wa mzee wangu kipenzi, lakini siku chache kabla ya kifo chake nilizungumza nae mambo "confidential" kwa simu yangu binafsi, ila kwa bahati mbaya, stress za msiba na...
  5. suley hazard

    iPhone zote zipo. Niagize nikuletee ulipo kwa Dar na mkoani nikutumie

    Kwa bei hiyo huwezi kupata mpya mkuu labda used
  6. suley hazard

    Mtaalamu wa usindikaji chakula anapatikana

    Habari wakuu, Mimi ni kijana mtaalamu wa fani ya sayansi na teknolojia ya usindikaji wa chakula (BSc. Food science and technology) kutoka chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (graduate). Natoa huduma yaelimu na ushauri kuhusu usindikaji wa aina zote za vyakula, kuwasaidia wafanyabiashara na...
  7. suley hazard

    America na Ulaya watu weusi bado wapo, Je kwa nini Uarabuni hawapo?

    kikosi cha timu ya taifa ya saudia arabia kombe la dunia. Out of 11 starting players watano ni weusi, bado waliopo benchi. Hii inaonyesha kuwa watu weusi bado wana nafasi katika arabia. Pia nimewahi kusikia kuwa ukienda yemen au oman unaweza dhani upo zanzibar, weusi wamejaa kila mahala.
  8. suley hazard

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ilifungiwa baada ya official chelsea account kuiomba instagram waifungie kutokana na issue za copyright.
  9. suley hazard

    Vitabu vingi vya "Motisha/motivational" husababishia wasomaji wake stress

    Mbinu maridadi kama zile za kukwepa kodi kwenye biashara zao na kuwanyonya wafanyakazi wao au sio mkuu..?
  10. suley hazard

    Mrejesho wa (nakosa mke kisa mjinga mmoja hivi)

    Anaanzaje kuvua sketi bila hata ya kupima oil..?. Anatuuzia "gahwa".
  11. suley hazard

    Tushirikishane: Kipi hutasahau kwa mwaka huu

    Mwaka huu nimefanikiwa kutunikiwa shahada yangu ya kwanza ya food science and technology. Namshukuru sana Mwenyezi mungu kwa hilo na natamani sana kuendelea na elimu ya juu zaidi.
  12. suley hazard

    Msichana akikwambia ana mtu, mjali miezi 2 kisha kula kona ghafla...!

    December hii mkuu kuwa makini, wanatafuta mtu wa kumchuna x-mass.
  13. suley hazard

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    UEFA wao wanaangalia matokeo yenu (ya timu zinazolingana point) pindi walipokutana wao kwa wao.
  14. suley hazard

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tumepoteza nafasi kadhaa za wazi ambazo zingetosha kabisa kutupa ushindi. Tujiandae na barca, psg au besiktas.
  15. suley hazard

    Tabia ya kuaga maiti ni ya hatari sana

    Nadhani hoja kuu ipo katika kusitiri aibu maiti. Kifo kina mambo mengi, wengine wakifariki huwa wanavimba tumbo au uso, wengine hupinda midomo au vyovyote vile Kwa hiyo ni vizuri aibu ya maiti ikabaki kwa ndugu na familia tu na sio kila mtu aione ikisha akatangaze aibu hizo kwa watu wengine...
Back
Top Bottom