Recent content by succinate coA hydrogenase

  1. S

    Maison club

    Acha nijipange na elf 15.. nichukue milinda nyeusi mbili na buku 5 inabaki ya daladala.
  2. S

    Ukiona kijana anaogopa kuoa Basi tambua na yeye ni mzinzi

    Kama umewahi kupiga mke wa mtu ndio kabisaaa kuoa utaogopa kama ukoma
  3. S

    Je, Mwezi ni Chombo kilichowekwa na Aliens kutupeleleza? Mbona ni miaka 50 tangu USA mwaka 1969?

    Duh. Hizi nondo acha Nile kwanza msosi wa usiku labda ndio nitazi digest vizuri
  4. S

    Sitasahau Special Thread

    Mm sitasahau intro ya jkt... Miezi mi3 ilikuwa Kama mwaka.....kifo unakiona usoni dadadeq
  5. S

    Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

    Ndio yeye mkuu......yan Mimi baada ya kumuona alivyotoka nduki baada ya kuona gun nimecheka hadi nikakaa chini badala ya kumhuzunikia nape
  6. S

    Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari

    Hamorapa ...huyu jamaa ni balaaa kwa kuchangamkia fursa
  7. S

    Best PC games

    Mkuu umetisha mm nimeishia lgi 2
  8. S

    Nauza gari yangu Yoyota Raum no C

    Mkuu ww uza tu maana hali yangu naijua mwenyewe
Back
Top Bottom