Haha naona siku hizi watu hatuna mpango na sura wala sauti, wowowoww ndo mpango mzma na nafikiri ndo sababu ambayo inatufanya wengi tumetamani kuona video akiwa kasimama.
Watu washapigwa pesa vya kutosha wako hoi hata nguvu ya kuja kutetea kampuni zao pendwa kama ilivyokuwa awali hawana tena.
HAKUNA PESA RAHISI DUNIANI
#oriflame #qnet #foreverliving #bitclub #d9club
Hata bwana tito anafanya ushetani wake huku akiwa na baibo mkononi lakini haitoshi kusema wakristo wote ni mashetani kwasabab tu umemwona shetani mmoja anafanya ushetani wake akiwa na baibo mkononi.
"Allah Akbar" ni neno la kiarabu tu wala lisikujaze chuki.
Kinana katumwa India kwa ajili ya matibabu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mr president anatuma mpaka wagonjwa kwa ajili ya matibabu. Nasubiri jasusi wangu gwajima anipe ukweli kuhusu kuondoka kwa kinana na tareh aliyoondooka hapa nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.