Russia ndo iko
Karibu zaidi na nchi za kiislam, tussia ina waislam wengi ambao ni raia wake, mfano jimbo la chechinia lote ni la kiislam...russia huwa makini sana kwenye usalama wa ndani, si kwamba hashambuliwi huwa anashambuliwa hasa nje ya mipaka yake na ndani huwa kuna madhara madogo
Russia bahati mbaya ama nzuri hana interest za kutafuta umaarufu kupitia ugaidi kwahiyo huwa anadeli nao kimya kimya jambo ambao hata magaidi wenyewe huogopa..mfano kuna wakati balozi wao alitekwa lebanoni na jamaa wakadai hela kama fidia kutoka russia na russia wakakataa huku wakisisitiza wanataka mtu wao arudishwe tena haraka...magaidi nao wakagoma, kilichofuata ni warrusia walitafuta bdugu wa karibu wa magaidi halafu wakaanza kukata viungo huku wakiwatumia, magaidia kuona hivyo wakasanda wenyewe, ikaja suala la jimbo la chechinia ambao linatawaliwa na waislam kabla ya putin walikuwa wanaleta vurugu ili wajitenge walichofanywa mpaka leo hawataki kusikia wala kurudia...uje eneo la vita la siria kuna wakati walimzingira komandoo wa kirusi, jamaa kuona hivyo akaita ndege imlipue yeye na magaidi...mpaka leo hawana hamu na warusi, bado lile tukio la kuwakomboa matwka waliotekwa kwenye ukumbi wa disco jamaa walivyofanya, jamaa wako serious sana wakishikwa sharubu na magaidi ndo maana magaidi wanaogipoa sana