Recent content by StoneOliver

  1. StoneOliver

    Mapungufu ya mabasi ya Tahmeed

    Pera wewe umemaliza kila kitu.
  2. StoneOliver

    Bongo Fleva ya zamani tulikuwa tunapewa story.. siku hizi tunapewa nini?

    Ktk album hiyo hiyo kuna track moja story moja imeanzia posta mpaka bom bronx. Nayo noma. "Kweli siku hazifanani, miti itateleza tu siku hakifa nyani"
  3. StoneOliver

    Bongo Fleva ya zamani tulikuwa tunapewa story.. siku hizi tunapewa nini?

    Msikilize P the MC. Ni story teller. Full potential.
  4. StoneOliver

    Series (Special thread)

    Kwenye suala la movie/series/vitabu kinacho-matter ni contents tu. Naangalia na kusoma mpaka vitu vya 50's... ni mtazamo wangu tu.
  5. StoneOliver

    Fundi waya?

    Mambo yako nini? Si kwa jicheko hilo...
  6. StoneOliver

    Kwa mliooa wanawake waliowazidi umri

    Most of them hawajiamini. Which lead them kuwa "control freak". Speaking from experience.
  7. StoneOliver

    Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

    Mleta uzi hujajua kua wanawake ni kama "wine" vile. They get sweeter with age. I luv matured women.
  8. StoneOliver

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    We noma. Umejuaje kama huyo mwanamke wake mwembamba? Na hajasema maumbile.
  9. StoneOliver

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Lakini sio papuchi.... vitu vingine labda..
  10. StoneOliver

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Kweli tunatofautiana. Wengine tunataka kila siku hatupati. Wewe umepata wa kila siku hutaki duh. Lets swap.
  11. StoneOliver

    Huyu mwanamke anapenda mapenzi kuliko kawaida mpaka nakuwa mtoro kazini

    Nipe mimi huyo "mwanamke". Au sema wewe unataka kumgonga siku ngapi kwa mwezi zilizobaki acha mie nijifaidie. Ulimtokea wa nini sasa kama kazi huwezi. Wait a minute. 1. Uko nae muda gani? 2. Tangu mnaanza alikua hivyo hivyo na wewe ulikua hivyo hivyo au hali imebadilika ghafla? Ukijibu these...
  12. StoneOliver

    Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu uliweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo...

    Naam. Zamani Mtoto alikua wa jamii. Siku hizi "mwana humulelile mkulu miyago"
Back
Top Bottom