Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,844
Nakuunga mkonohoja dhaifu mkuu
Nakuunga mkonohoja dhaifu mkuu
Hii coment imenichekesha sanKwani mkuu huna cm? Chomeka headphone kula burudan kivyako na kama huna kaa kimya maana na wewe cyo daraja la juu
Pole sana... Walitaka wakuslimisheHapa kwenye Burudani ndani ya Gari bora hata na Tahmeed
Kuna siku nimepanda basi fulani(MGHAMBA) toka Arusha to Geita toka mwanzo wa safari hadi mwisho ni KASWIDA utazani safari ya kwenda KUHIJI MECCA wakati kanda zile inajulikana wale watu ni adimu
Mabasi mbona yapo mengi, sio lazima upande hiloBaada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;
1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria
2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi
3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.
4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "
5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
1. Siyo kweli, inategemea ulipanda lipi, kuna moja la Arusha - Dar, dereva wake ni mwembamba halafu ni chain smoker wa sigara, mwendo kasi wake Siku ufurahia.Kwa experience yangu ni wapo on time, speed yao ndogo lakini ni salama.hawajazi abiria wanasafiri na uzito unaotakiwa.mtu alienda na mzigo wake mkubwa alikataliwa. Sema wanayo advertise kwenye basi lao mengine wanaongeza chumvi
Kwani umeambiwa lazima upande mabasi na kupiga kwaya ndiyo sifa ya basi za Arusha? Kwaya kasikilize kanisani katika basi kun abiria wa itikadi tafauti na dini tofautiBaada ya leo kupanda basi hizo zinazosifiwa sana, nimejionea mapungufu yafuatayo;
1. Hakuna wahudumu wa kike. Wapo wa kiume ambao wana kauli ngumu kwa wateja / abiria
2. Ndani ya basi unapewa maji pekee yake wakati Kilimanjaro Bus unapewa maji, soda, keki na
pipi
3. Hawapigi nyimbo za kwaya kabisa tofauti na mabasi mengine yanayoenda Arusha.
4. Hawana basi zenye choo licha ya kuwa na stika ya SUMATRA iliyoandikwa " Daraja la Juu "
5. Njiani kwenye lunch wanasimama Hotel za kichovu sana.
Unataka wahudumu wa kike kwani umeambiwa hilo gari ni danguro?
Na kwaya kwenye gari unafikiria hilo ni kanisa?
Ngoja narudi

Pera wewe umemaliza kila kitu.1. Bila shaka wale ni muslims na maadili ya kiislam c ya kumuexpos mwanamke ktk maxingira magum yaufanyaj kaz kama hayo ya ukonda, wamerely ktk religouis scriptures
2. Kupewa nin ndan ya gar onategemea na mambo meng ikiwepo kiwango cha nauli uloyotoa, aims za tajiri na vipaumbele vyake kwa abiria wake.. moshi na arusha kwaya znapifwa sana kweny magar hii inategemea na mmiliki wake pia na dereva mwenyewe etc
3. Tajir ni muslim na maderrva wao ni waislam tena walikuliay kwny ahuen ya diyn, kwaya kwao nimkitu ingin
4. Me mbona nlipanda yenye toilet? Haujafanya utafit wa kutosha kweny hoja hii ya toilet
5. Kuhusu hotel za kichov cjui kea 7bu gan pengine hawana maslah nao kibiadhara... in adition huenda wakawa wanakwepa hotel znazopika kitimoto