Kma kweli unataka kumuowa nenda ongea nae vizuri kwanza akisha kukubali kuwa mpenzi wako nenda nyumbani kwao kajitambulishe then umchukue kwa haki,maana isije ikawa tamaa ya mwili tu ukishamgeuza upendavyo umuache mtoto wa watu,Kumbuka rafiki yako so tenda haki mdumishe undugu.Asante
Huyo mgawa unga kashindwa hataa kupiga kampeni then anasema kaibiwa kula i was in Arusha katika kipindi cha kampeni ni mkabila hana lolote siasa haiwezi
Acheni kuchafua kabila za watu,Asili yetu ni biashara na tuna mafanikio sana upande huo that why watu wanahisi tunatumia uchawi ukitaka mafanikio owa au olewa na mkinga utaja niambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.