Recent content by stino16.na

  1. S

    Uko wapi nikufate?

    Tafuta tu mwingine, huyo haezi rudi kamwe,,, huko alipo enda n mbali mnoo
  2. S

    MTAFARUKU EAC: Kikao cha Bunge la Afrika Mashariki chavunjika

    Hii sasa nomaa, maana ya kuwa na makao makuu ni nini sasa? Basi kama ndo ivo, hata nch za Africa wagomee vikao vya AU kufanyika Adss Ababa pekee, au nch wanachama wa UN wagomee vikao kufanyika New York pekee!
  3. S

    Mdogo wangu ananitaka kimapenzi

    Kheee, Dunila imekwisha, yaan huyo mdogo ako ana pepo huyo,,, ina maana huko nje kakosa demu? Lakn hata wewe inaonyesha kuna dizain unafanya mpaka anahis utakubali,,, sababu ungemuonyesha msmamo wa dhati kuwa anachokitaka sio sawa kwake, hangeendelea kung'ang'ania,,, cha kufanya, sababu...
  4. S

    Viongozi wa tanzania

    wanaweka pesa USWISS, Wanatibiwa INDIA, Wanajenga LONDON Wanawekeza USA na S, AFRICA Shopping DUBAI Matanuzi PARIS Kuungama wanaenda ISRAEL na SAUDIA Lakini wakifa wanazikwa TANZANIA, Hivi TANZANIA ni sehemu ya makaburi? niambieni jamani, uskute naishi makaburini bila kujijua,,,,
  5. S

    Hii ndio katuni iliyochorwa kuhusiana na mabasi ya wanawake yanayotarajiwa kuletwa nchini...

    Ni pouwaaa, kwa wanawake na watoto kuwa na mabasi yao sababu ile ya changanyikeni wanapata mateso sanaaa.....
  6. S

    ha ha ha ha!

    Bwahahahaha. .
  7. S

    I've lied 2my boo abt pregnancy, heeeelp

    Sasa tukushauri nn, nazani ingekua bora ungetuomba ushauri kabla hujamdanganya, kwamba nataka nimdanganye mpenz wangu hiv na hiv, na sababu za kufanya hiv n hiz na hiz,,, Sasa umekurupuka, yamekufika shingoni ndo unagundua kuna kuomba ushaur,,,, Mimi ushaur wangu mfuate muekeze A 2 Z na...
  8. S

    Taarifa ya Msiba..

    Dah, RIP, pole mno aiseee, jikaze we n men,,, hasa kipindi kaa ichi na Mungu akupe nguvu zaid....
  9. S

    Benk ya crdb yashiriki katika ulaghai wa wateja wao.

    Apo bado kidogo sijakuelewa, ni kwamba unafanyiwa hila ushindwe kulipa? Na je kama upo na biashara zako, watakuja zuia biashara yako ili ushindwe lipa?
  10. S

    WANAUME: Nimewainulia mikono!!

    Akome, na iwe fundisho kwa wengine na hata kwako pia,
  11. S

    Joti wa ze komedi orijino-amtalaka demu wake baada ya kumfumania

    Wabongo kwa umbea, toka lini talaka inatolewa kwa mchumba?
  12. S

    Mfano wa utaratibu wa kujaza fomu ya maombi ya kuoa

    Hizi form zilikua zinatumika enz za Ukoloni,,,, hasa ukita kuoa mtoto wa mzungu..
  13. S

    msaada plz nimechoka kukaa kwa ndugu

    dadaangu kuwa mvumilivu kama ulivo vumilia mpaka unafika elimu ya juu, usione watu wanajitegemea wamepanga ukazan maisha n rahis, huku mtaan maisha n ngumu mno dadaangu,,, wacha kabisa mawazo hayo,,, pambana usome mpaka umalize,,, huez amin ukihamia mtaan kuanza maisha ya kujitegemea! matokeo...
  14. S

    RC Arusha Magesa azidi kuteswa na MSULI wa SPORA LIANA

    mama kuwa makini, fanya kazi kwa bidii, lakn angalia na usalama wa maisha yako,,,,
Back
Top Bottom